Eid ulisheherekea vipi?

hakuna ubishi hommie mi na wewe hatudhuriani........ndo maana nafanya logistic hapa nikamsalimie mjukuu MJ1

Unachokosea ni kuwa MJ1 ni mjukuu wako pia. Wataka KULA mjukuu wa babu ambaye pia ni wako?:nono::nono::nono:
 
wengine tulipata muda wakupumzika na kufanya mazoezi ya hiari ya kutosha kabisa...ckumbuki kama nilikula kwa jinc nilivyokuwa busy na rumba.
 
Unachokosea ni kuwa MJ1 ni mjukuu wako pia. Wataka KULA mjukuu wa babu ambaye pia ni wako?:nono::nono::nono:

Mi nataka salimie yeye basi.....hapana kula
 
Unachokosea ni kuwa MJ1 ni mjukuu wako pia. Wataka KULA mjukuu wa babu ambaye pia ni wako?:nono::nono::nono:

Hivi Babu hakuna JF ya jirani? maana naona waJF wote hapa ni Mababu atha mi thi thitaolewa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…