Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
juu ya nini?endeleen....Naproccess ban ya maisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
juu ya nini?endeleen....Naproccess ban ya maisha...
kama 1 x 1 =1, then 2x2=2...Hivi ulimaanisha jumlisha au zidisha?
MAGAZIJUTO ongeza tuu ili ufungue mabano
hakuna ubishi hommie mi na wewe hatudhuriani........ndo maana nafanya logistic hapa nikamsalimie mjukuu MJ1
Chako chako changu chako? unakwenda kinyume na katiba
juu ya nini?endeleen....
Sifa za kikabaila hizi za St RRjuu ya nini?endeleen....
Abeeeeee...........umeniita kaka jirani?hakuna ubishi hommie mi na wewe hatudhuriani........ndo maana nafanya logistic hapa nikamsalimie mjukuu MJ1
Unachokosea ni kuwa MJ1 ni mjukuu wako pia. Wataka KULA mjukuu wa babu ambaye pia ni wako?:nono::nono::nono:
Unachokosea ni kuwa MJ1 ni mjukuu wako pia. Wataka KULA mjukuu wa babu ambaye pia ni wako?:nono::nono::nono:
Abeeeeee...........umeniita kaka jirani?
Nimekuiita mjukuuu ila babu analeta vikwazo vikwazo......mi nasalamia wewe....Abeeeeee...........umeniita kaka jirani?
Hivi Babu hakuna JF ya jirani? maana naona waJF wote hapa ni Mababu atha mi thi thitaolewa??
Hivi Babu hakuna JF ya jirani? maana naona waJF wote hapa ni Mababu atha mi thi thitaolewa??
Mi nataka salimie yeye basi.....hapana kula
Rose uliionaje supu, pilau na makange ya dig dig
Rose uliionaje supu, pilau na makange ya dig dig
Sifa za kikabaila hizi za St RR
:thinking:Mambo? :spider:
Wewe nakuruhusu...ila mababu dizaini ya Roya.... Ni marufuku kumsalimia mjukuu wangu.