Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una haraka sana. Mpaka umeamua kuwaingiza TRA kwenye Eid yenu?habari ziwafikie bakwata mwaka huu ngoma lazima itazamwe kwa VAT kama umeandama au la! haiwezekeni kila mwaka tunafungishwa siku za eid hili lifike mwisho
😅😅😅😅Watu wapo attention ,natamani Ramadhani iendeleeMimi siku ya Iddi na familia yangu tumepanga kufunga siku mbili mfululizo.
adriz Mufti kuku The Infinity Accumen Mo
hili ni pigo moja bado rudia tena kukashifu dini za watuHabari ziwafikie BAKWATA mwaka huu ngoma lazima itazamwe kwa VAT kama umeandama au la! Haiwezekeni kila mwaka tunafungishwa siku za eid hili lifike mwisho.
View attachment 2956654
Wewe inabidi nikupeleke kifungoni ukaungane na pacha wako Maghayo The Mongo BarbarianMimi siku ya Iddi na familia yangu tumepanga kufunga siku mbili mfululizo.
adriz Mufti kuku The Infinity Accumen Mo
Huyu hajalipa ritani za Quater ya tatu.Una haraka sana. Mpaka umeamua kuwaingiza TRA kwenye Eid yenu?
unamtishia kijana uchawi?Kuwa na adabu kijana albabid inakuhusu
Miaka 1300 tangu tuanze ibada bado tunalazimisha macho yaone wakati kwingine kote tunatumia innovationsHabari ziwafikie BAKWATA mwaka huu ngoma lazima itazamwe kwa VAT kama umeandama au la! Haiwezekeni kila mwaka tunafungishwa siku za eid hili lifike mwisho.
View attachment 2956654