Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

[COLOR="Red" said:
Sabri-bachani[/COLOR];339078]Akikosa hata Ngisi.

We Sabri Bachan na yule shoga maarudu pale Unguja mwenye jina hilo mna undugu?
 
Pole mkuu. Wewe sasa dumisha chama mbele kwa mbele. Mwanamke atakayekusingizia mimba, mpe siku 7 kuleta evidence.
 
Pole mkuu. Wewe sasa dumisha chama mbele kwa mbele. Mwanamke atakayekusingizia mimba, mpe siku 7 kuleta evidence.

Msema kweli ni DNA, labda siku hiyo 😉 mambo yatajipa na DNA haidanganyi 🙂
 
Haha haha ha,
Ingekuwa kwetu Kigoma basi angeambiwa ale karanga nyingi mbichi na supu ya samaki- pweza!

LOL! MH, Kigoma kuna pweza!? Si kuna migebuka, dagaa wakavu na wabichi na mawese kwa wingi? Au mmepandikiza pweza kwenye Ziwa Tanganyika!? Just thnking aloud 🙂
 
I think you should not give a damn about that,owing to the fact that you enjoyed alot at your youth age.Maintain your health donnot do sex at this age
 
I think you should not give a damn about that,owing to the fact that you enjoyed alot at your youth age.Maintain your health donnot do sex at this age


Sex pleasure is at its maximum above 45. Before this is but too experimental
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?

Du una uwezo wa mara tano na unataka kuchelewa si utawasha moto kwa friction?????

wewe ni mgeni na bado ngozi yako iko tooo sensitive endelea KUSUGUA utakomaa si muda mrefu.

ONYO: UKIMWI unakill.
 
Du una uwezo wa mara tano na unataka kuchelewa si utawasha moto kwa friction?????

wewe ni mgeni na bado ngozi yako iko tooo sensitive endelea KUSUGUA utakomaa si muda mrefu.

ONYO: UKIMWI unakill.

Kweli kabisa. Inawezekana hata hajatahiriwa. Lakini kama ni mkubwa vya kutosha atueleze tumpe mbinu zaidi.
 
mkuu nimetahiriwa am matured enough sema 2 nimechelewa kuanza hayo mambo.plz kama unaweza nipe hizo mbinu mkuu.
 
Du una uwezo wa mara tano na unataka kuchelewa si utawasha moto kwa friction?????

wewe ni mgeni na bado ngozi yako iko tooo sensitive endelea KUSUGUA utakomaa si muda mrefu.

ONYO: UKIMWI unakill.

.......Hapo ndiyo huwa nachoka kabisa
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?

Sababu moja wapo ni iwapo unafanya tendo hilo ikiwa unawasiwasi za kukutwa na mtu. inategemeana na mahali mnapofanyia tendo hilo, mfano anayefanya tendo la ndoa sehemu ya parking ya magari lazima atawahi kuachia kwa hofu ya kukutwa na mtu.

wasiwasi huu pia waweza sababishwa aidha unashiriki na mke wa mtu au unafanya nje ya ndoa, kwa hivyo utashiriki ukiwa unahofu ya kukutwa na mtu. kwasababu umesema ndio mara yako ya kwanza kunauwezekano unashiriki na mke wa mtu hivyo kukupelekea kuhofu na kuachia kwa haraka ili usikutwe. Ushauri kwa hili usifanye mapenzi na mke wa mtu, siku ukikutwa yawezekana ikawa ndio mwisho wako

sababu nyingine, kutokana na unaeleza kuwa ndio mara yako ya kwanza, nahisi umekuzwa katika misingi ya dini ambayo inakukataza kushiri kabla ya wakati, hivyo kukupelekea wewe kuwa na hofu wakati wa kushuriki ukiamini kuwa ni dhambi, unafanya jambo sio sahihi na kukupelekea kuachia haraka. ushauri wangu kwako, kulingana na biblia, azinie na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalo muangamiza. ndugu yangu misingi uliyokuzwa hiyo ni ya kuzingatia, dunia hii inapita pamoja na mambo yake mgeukie muumba wako wakati wa ujana wako kabla hazijaja siku mbaya utakazo sema ningalijua
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?

Bwana James!
Nitaomba nitumie english kidogo kwani ndo raisi,Premature ejaculation is most prevalent among young men,men with new patner,and college-educated men than among men with less education;it is thought to be related to concern for partner satisfaction.
What are the the possible causes?
1: Anxiety regarding the sex act(Je ni dhambi kufanya ngono? au unabongonyoa mzigo wa mtu?Unafanyia uswahilini watu wakipita) and with unconscious fears about the vigina.
2: It may also be the result of conditioning if the man's early sexual experiences occured in the situation in wich discovery would have been embarrassing.
3. A Stressful marriage exacerbates the disorder.
4. Vurnerable sympathetic stimulation(Ejaculation is controlled by this).
5.Shorter bulbocavenosus reflex nerve latency time.

Matibabu
1 :Kama kuna moja ya sababu napo juu # 1 kwenye mabano,ilekebishe,kila kitu kitakuwa mswano.
2.Kama # 1 haiusiki then unaweza tumia dawa,kama uko Tz/Dsm then nenda pharmacy mwone pharmacisty,dawa ni SSRI na Antideprsants,Angalizo: Hizi sio dawa za ili tatizo ila side effect ndio inatumika kusaidia ili tatizo.
3.Kama upo nje ya Tz kamuone Psychologist,upate sexy therapy.

Kibwagizo:
Ila kama unakamua bao tano,tatizo liko wapi,kamua tu baba,najua la tano litakuwa gumu sana kutoka.
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?

Kutokana na maelezo yako inaelekea unahitaji a maximum of 10 minutes kupiga bao tano. I find this a bit too unrealistic or carelessly exagerated!. Kwa uzoefu wangu 'mdogo', dakika kumi hazitoshi kabisa kumridhisha mwanamke (ni kama vile utakuwa umembaka tu). For both of you to enjoy the act, for the five 'scores' I would expect 4 hours at a very minimum.

Kama si dakika kumi je hizo 'bao tano' unazipata katika muda gani? two hrs? or the whole night (si lazima iwe usiku anyway 🙂 )?

Kutokana na maelezo yako, kuna uwezekano mkubwa sana ni mbinafsi wakati wa kufanya tendo la ndoa. Hapa nina maana unapofanya tendo la ndoa unajifikiria wewe kwanza na si mwenzio. Mara zote jaribu kufikiria ni namna gani utamridhisha mwenzio (nae pia atafanya hivyo kwako kama si mbinafsi!). Kwa kumfikiria mwenzio kwanza, hili litakupa muda mrefu wa kufurahia mapenzi na utapata faraja ya pekee utakapoona mwenzio 'anapagawa' kwa vitu unavyomfanyia. Just slow down and relax (although this can only happen when you believe what u r doin is right, at the right time, right place and with the right partner!).

Lastly, if you do it properly (as explained above) then you dont need the 5 'scores' to get satisfied. Only two to three 'scores' should make both of you happy🙂! When you become an expert, only one 'score' should be able to get you a comfortable and relaxed sleep!
 
Last edited:
Back
Top Bottom