Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF je kitaalamu mwanaume anatakiwa kufika mshindo baada ya mud gani akiwa anafanya tendo la ndoa??nn kinasababisha kuwahi au kuchelewa kufika??
JF je kitaalamu mwanaume anatakiwa kufika mshindo baada ya mud gani akiwa anafanya tendo la ndoa??nn kinasababisha kuwahi au kuchelewa kufika??
JF je kitaalamu mwanaume anatakiwa kufika mshindo baada ya mud gani akiwa anafanya tendo la ndoa??nn kinasababisha kuwahi au kuchelewa kufika??
Mshindo, ukiwa uko Iringa mjini (uhindini) inakuchukuwa dakika tatu. Ikiwa upo chini kule Ruaha darajani, ukienda kwa gari, dakika 10 mpaka 15, ukipandisha kile kilima kinachotokea pale polisi kwa miguu, itakuchukuwa dakika 12.
Ikiwa unatokea Dar. Unafika Mshindo kwa masaa 6 mpaka 9, inategemea na spidi anayoendesha dereva wa gari uliyopanda. Kama unaendesha mwenyewe, kukiwa na harusi huko Mshindo itakuchukuwa sio zaidi ya masaa matano, kama kuna msiba itakuchukuwa masaa 12 mpaka 24, inategemea ulisimama mara ngapi njiani kuomboleza.
Maana ya neno nguvu za Kiume ni Nguvu za kufanya tendo la ndoa kwenye kitanda baina ya mwanamme na mwanamke (Sex) Mwenzetu wewe ni mwanamke au mwanamme?.. diodehiv nini maana ya nguvu za kiume?
wajameni kuna suala linanitatiza kidogo jinsi ya kuanza round ya pili,kifupi nina tatizo hili kwa mda mrefu ingawa nikiwa kwenye mchezo kwa round hiyo moja asilimia 98 ya wanawake ninaokukutana nao wanaridhika na kuwaacha hoi kitandani wameshiba malavidav vilivyo,i mean goli 1 nachukua saa 1 mpaka 3,kwa mdada anayekujoa anaweza kojoa mara mpaka wakati nikiwa kifuani,sasa nikikojoa tu moja hiyo mpaka kesho tena,je nifanyeje? hili tatizo linasababishwa na nini? najua wengine watakuwa kama mimi
acha kupiga ile k2 ya sabuni,,,