Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ushaur humu bila kumuona Daktar , utakufia kifuan mwa mwanamke.

Hata ivo
Fanya mazoez ya mwili nakegel
Kula karanga mbegu za maboga ,matikiti maji kwa sana.
Kunywa maji mengi mnoo.
Acha pombe na sigara
N.k
N.k
N.k
Nice, u deserve to be a doctor anyway
 
Jamani mwenzenu hata uume hausimami na nikibahatisha kusimamisha bac kanasimama kidogo tu hata nikitoa mbegu ni Kama najisikia tu kutoa mbegu maana nikienda maliwatoni kunawa baada ya tendo sioni manii yoyote ilaninapokojoa nahisi kabisa ninatoa, kijumla sisimamishi nisaidieni bac
 
dUUHH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…