Habari zenu.
Kwanza niko serious.
Pili ni habari inayonihusu mimi mwenyewe, sijasimuliwa na mtu.
Straight to the point :
First time, nimemwandaa vzur sana, kalegea na kutepeta yaan kaloana. Sasa muda wa kuanza mchezo ile naingiza tu, hata cjaanza kupampu wazungu haooo...
Daaah, nikawa frustrated, akaanza kuniforce niendelee nami Kutokana na kuwa disappointed nikishindwa kabisa kuendelea. Akamaind sana, nika apologize nikisema cjafanya cku nyingi sana. At least akani elewa.
Second time, nimemwandaa tena kwa muda wa Kutosha tu, mpaka nikaingiza mashine yangu, mambo mswano... Tatizo ile akaanza kukatika tuu, wagiriki haooo....
Very disappointing (for a really Man Who cares nadhan anajua feelings gan nilikua nazo hapo)
Nikamwambia tena, bado cjakuzoea Mariam, As TIME goes on you will enjoy baby. Believe me.
Dizain kama alielewa tena.
Mara ya tatu (juzi juzi hapa pale Mkomilo hotel Sinza rayan)
Nimebook room fresh, nasema leo bora tu tuishie kutomasana nisije aibika zaidi, mpaka nitafute ufumbuzi wa hili TATIZO..
Hivo tukaishia kula romance tuu ingawa mtoto alilainika sana.
Nadhan kwa mtu mzima mwerevu mpaka hapa TATIZO langu amelijua sihitaji kuelezea zaidi..
Nishaurini nifanyeje, nami napenda kuwa kama nyie nimridhishe mpenz wangu jaman, nafadhaika kwa hali hii.
Hivi nitakua na tatizo gan ama kuna step nakosea wakuu wangu tafadhalini.
Uinjinia wangu wekeni kando, nisaidien hata kwa ushaur niwe napiga show hata 30 minutes, TWO goals I will be much happy.
#Chief Eng