Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Wakuu leo nawaletea dawa ya kuzuia kukojoa mapema kwa mwanaume wakati wa 6 kwa 6. Dawa ni hii kama umepanga kukuta na mweza wako muda flani, wewe 2 up 5 hours before piga pun..eto kimoja tu nakwambia dem akija utaenda hadi saa nzima bila kukojoa. wengi hukojoa mapema kwasababu ya kutofanya hivi. jaribuni then mlete mrejesho hapa mkifanikiwa. Mi ndio utaratibu natumia una mafanikio makubwa
mkuu sasa kutakuwa na haja gani ya kukutana na mwenzio Ka tayari ushajiridhisha mwenyewe na punyeto??ukipiga nyeto halafu ukakutana na mwenzio unachukua mda mrefu kwasababu hisia zile Kali hazipo tena na wala huoni raha ya tendo labda Ka wataka kumridhisha mwenzio tu!!
nilitumia Sana hii mbinu kipindi cha nyuma iila baadae niliona madhara yake kwani ilikuwa nikipga nyeto halafu kukutana na mwenzangu hata dk 5 nlikuwa sifiki sababu mishipa ilikuwa ishalegea mno kwasasa nimeacha kabisa
mbinu pekee ni ya kucheza na ubongo wako tu na kutokuwa na papara wakati unafanya
 
mkuu sasa kutakuwa na haja gani ya kukutana na mwenzio Ka tayari ushajiridhisha mwenyewe na punyeto??ukipiga nyeto halafu ukakutana na mwenzio unachukua mda mrefu kwasababu hisia zile Kali hazipo tena na wala huoni raha ya tendo labda Ka wataka kumridhisha mwenzio tu!!
nilitumia Sana hii mbinu kipindi cha nyuma iila baadae niliona madhara yake kwani ilikuwa nikipga nyeto halafu kukutana na mwenzangu hata dk 5 nlikuwa sifiki sababu mishipa ilikuwa ishalegea mno kwasasa nimeacha kabisa
mbinu pekee ni ya kucheza na ubongo wako tu na kutokuwa na papara wakati unafanya
Naunga mkono hoja yako mkuu [emoji109]
 
hakuna kitu kitamu kama kukojoa bao la kwanza...... hasa ukikojolea ndani yani nitakuwa sijafanya mapenzi kama hilo la kwanza halitaingia ndani.........

Niko radhi niwe natia afu natoa kwenye upepo kidogo ili nisiwa au niwe nawaza misiba misiba tu magonjwa magonjwa tu ili mradi nichelewe kdg ila nikiona kabisa sasa ndo muda yani najikunja kweli kweli natoa ahadi kubwa kubwa na sifa nzuri nzuri.. mana ndo utamu wa dhambi ulipo.

Hivi ulikuwa unasema nifanye nn kabla... we huwezi kuwa serious.

Ye asubiri tu round zingine kwa kwel kama hiyo ntazingua
 
Wakuu,

Leo nawaletea dawa ya kuzuia kukojoa mapema kwa mwanaume wakati wa 6 kwa 6. Dawa ni hii kama umepanga kukuta na mweza wako muda flani, wewe 2 up 5 hours before piga puny..eto.

Kimoja tu nakwambia msichana akija utaenda hadi saa nzima bila kukojoa. wengi hukojoa mapema kwasababu ya kutofanya hivi.

Jaribuni then mlete mrejesho hapa mkifanikiwa. Mi ndio utaratibu natumia una mafanikio makubwa.
fanya mazoezi ndugu njia hiyo unayotumia ni haramu,kuna siku utabananishwa utakosa muda wa kuchomoka kwenda kujichua.
 
Dushe kila siku zinatafutiwa tiba, sijui zina kideli....

we mbn coment zote unaponda sana dushes..., hicho ndo kifaa pekee chenye kuheshimiwa zaidi duniani.

Dunia nzima inajua nawe wajua na najua ukifika mbele ya hicho unakuwaga kama piriton.....
 
Hawa ni wale wanaume wanafanya mapenzi kwa kukomoana, kwa taarifa yako mwanaume ukiwa unakawia kukojoa pia ni kero kwa wadada mana inafika time yale maji yake yanakauka na unamchosha, mapenzi ni starehe sio vita mpaka uwe na tecknic, imeshazoeleka nawanawake wote wanajua kuwa cha kwanza kinakuja mapema na cha pili kinakawia, na hutasikia mwanamke anamsifia mwanaume kwa kukawia sana kukojoa believe me, utasifiwa kwa kumkojoza mara nyingi, acha uselfish cha kuhakikisha ni nyote mnakojoa baada ya tendo, na sio kukawia kukojoa ndo ushindi. jipange.
 
Hawa ni wale wanaume wanafanya mapenzi kwa kukomoana, kwa taarifa yako mwanaume ukiwa unakawia kukojoa pia ni kero kwa wadada mana inafika time yale maji yake yanakauka na unamchosha, mapenzi ni starehe sio vita mpaka uwe na tecknic, imeshazoeleka nawanawake wote wanajua kuwa cha kwanza kinakuja mapema na cha pili kinakawia, na hutasikia mwanamke anamsifia mwanaume kwa kukawia sana kukojoa believe me, utasifiwa kwa kumkojoza mara nyingi, acha uselfish cha kuhakikisha ni nyote mnakojoa baada ya tendo, na sio kukawia kukojoa ndo ushindi. jipange.
Isee umeuaaaaa
 
Wakuu,

Leo nawaletea dawa ya kuzuia kukojoa mapema kwa mwanaume wakati wa 6 kwa 6. Dawa ni hii kama umepanga kukuta na mweza wako muda flani, wewe 2 up 5 hours before piga puny..eto.

Kimoja tu nakwambia msichana akija utaenda hadi saa nzima bila kukojoa. wengi hukojoa mapema kwasababu ya kutofanya hivi.

Jaribuni then mlete mrejesho hapa mkifanikiwa. Mi ndio utaratibu natumia una mafanikio makubwa.
Kweli Donald trump hakukosea aliposema waafrika tunawaza ngono tu!!
 
Epuka hamaki, mwandae mwenzio, gusagusa maeneo yenye msisimko kwake, relax , epuka kuhema ovyo kama mtu anayelazimisha
 
Mwanamke anayekupenda hata akikuona tu au kumshika tu ama kumkumbatia tu tayari stori imeshaisha!
Hicho unachokisema ni hatari sana kwa afya yako in long run,
Kula vizuri, Fanya Mazoezi, punguza Mawazo utapiga sana
 
Back
Top Bottom