drappohkishimbo
Senior Member
- Jan 3, 2017
- 132
- 65
usijali rafiki tangu hiyo hali ni kawaida kwa sasa kwa wanaume kila wanaume kumi wawili ndio wako sawa sasa cha kufanya chukua karot moja na nusu ndizi mbili parachichi moja tikit maji kipande size ya kiganja cha mkono simama na uanze kula matunda anza ndizi na karot kisha hayo mengine kula ukiwa umesimama alafu ukimaliza fanya zoez la pv muscels kwa nusu saa usile kitu mpka yapitr masaa mawili ili usizuie usambazaji wa mafuta kwenda kwenye misuli maana ukifanya zoez mwili unaitaji nguvu sasa zile nguvu ndio mafuta ukila unazuia yasisambae sababu misuli inatanukabna carb au sukar so yakipita masaa mawili anza kunya maji kidogo kidogo na vyakula kula kama kawaida mpka saa mbili uwe ushakunywa lita mbil au tatu vyakula vyako viwe katika mtindo wa tano mbili na nusu mbili na nusu nina full formula ya kutibu hii kitu naitoaga kwa elfu 20 hiyo niliyotoa ni tips tumia ukisaidie ukiona mbadiliko kama utaitaj full formula yenye picha video maelezo ya chakula muonekano wa matunda yanayohitajika ndio maana naitoa kwa whatsapp ili iwe rahisi kufika namba yangu ni hii 0712505049 gharama nilizoweka ili kughramia mda wangu maana ukisema ni free hutolala simu kila mara mpaka kero ila sababu unalipia we nipigie tu hata usiku wa mananeWakuu tatazo hili linanisumbua sana huwa nikianza kusex na girlfriend wangu nawahi kupga bao kabla yeye hajafka kileleni ila nikiendelea kwa round zingne yeye anaweza fika hata mara 3 ila mi bado hadi nikimwachia anaumia ila mi bado mjeredi uko straight unataka mambo swali langu ni kwamba nitafanyeje ili nisiwe nawahi kumwaga bao la kwanza na je kwa hapo ninatatzo?