Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Habari wakuu,,,kwanza salama,,pili naombeni ushauri wa mawazo au dawa juu ya hili tatizo,,,tatizo LA premature ejaculation ni tatizo linalowasumbua wanaume weng has a zama hizi,,pindi amuingiliapo mwanamke ndanu ya muda mfupi tu anapiga gori na hapo mashine inalala,,naomben ushaur wa mawazo au kama dawa zipo za kuzuia tatizo hili tuambiane
 
Ahahahahahaha,
We umejuaje kuwa no tatizo linalowasumbua wengi?
Punyeto ndio source mara nyingi.Ingia Google utapata suluhisho
 
Habari wakuu,,,kwanza salama,,pili naombeni ushauri wa mawazo au dawa juu ya hili tatizo,,,tatizo LA premature ejaculation ni tatizo linalowasumbua wanaume weng has a zama hizi,,pindi amuingiliapo mwanamke ndanu ya muda mfupi tu anapiga gori na hapo mashine inalala,,naomben ushaur wa mawazo au kama dawa zipo za kuzuia tatizo hili tuambiane
Ikimbie zinaa! Asubuhi yote mawazo yako huko, IKIMBIE ZINAA
 
Habari wakuu,,,kwanza salama,,pili naombeni ushauri wa mawazo au dawa juu ya hili tatizo,,,tatizo LA premature ejaculation ni tatizo linalowasumbua wanaume weng has a zama hizi,,pindi amuingiliapo mwanamke ndanu ya muda mfupi tu anapiga gori na hapo mashine inalala,,naomben ushaur wa mawazo au kama dawa zipo za kuzuia tatizo hili tuambiane
katafute dawa inaitwa "Cupid" tatizo lako litakuwa limekwisha.....ukipona usisite kunipatia ujira wangu
 
Ndani ya muda mfupi unapiga bao. Hii ni sentesi tata mda mfupi kwangu ni kuanzia dk 7 -10 Juma yeye ni dk 15-20 Hamisi ni dk 3-7 Joseph ni dk 30-33 pogba ni dk 2-4 jiwe ni dk 40 to infinity sasa kuwa muwazi upate msaada
 
Back
Top Bottom