Eka 23,005 za scheme ya kilimo cha mpunga Madibila - Mbarali, Mbeya

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
Wilaya ya Mbarali ndio eneo linalotoa 70% ya 32% ya Mpunga unaozalishwa Nchini ikiwa na Schemes zaidi ya 5 za Watu binafsina za Serikali.

Scheme ya Madibila:

~ Eneo ekari 23,005, Ekari 15,000 za Serikali na Ekari 8005 za Wananchi
~ Mavuno gunia 736,160 kwa msimu

~ Scheme za wananchi kila kaya imepewa Ekari 5.

 
Kwenye heading ungetanguliza neno "Taarifa Kwa Umma"
 
Hebu toa maelezo ya kina tujue hii ni taarifa tu au Kuna fursa na watu wanaifikiaje hiyo fursa.....
 
swali langu ni hili, kuna nafasi ya mtu kufanya kilimo kubwa cha mpunga hapo mbarali, kuna sehemu ziko wazi ambapo mtu anaweza lima mpunga, kwa large scale , hata kaa ni 10,000 au zaidi hata kaa ni pori ambao haijawai rimwa mtu ataaza upya, kaa iko hio nafasi nipe taarifa mkuu, natangulia shukarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…