El Clasico hii kama ilikuwa ya kumuaga Kikwete vile!

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Wakuu, nina furaha isiyo kifani wa matokeo ya mechi ya El Clasico iliyochezwa juzi tarehe 21 Novemba tena nyumbani kwa hasimu wetu Real Madrid. Matokeo ya mechi hiyo ni Barca 4 Real Madrid 0 yamenifanya kumfikiria mabadiliko ya serikali toka kwa mheshimiwa Kikwete ya awamu ya NNE.
 
ah! wapi! aliagwa na starz yake kwa 7-kimya. hukumbuki? ile inaashiria yale aliyoyaongoza na uhalisia wake. aha... kumbe aliwaleta madrid bongo, nao wamemuaga vilevile. very good ndg!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…