Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, nina furaha isiyo kifani wa matokeo ya mechi ya El Clasico iliyochezwa juzi tarehe 21 Novemba tena nyumbani kwa hasimu wetu Real Madrid. Matokeo ya mechi hiyo ni Barca 4 Real Madrid 0 yamenifanya kumfikiria mabadiliko ya serikali toka kwa mheshimiwa Kikwete ya awamu ya NNE.