Sawa mkuu, ila nilikuwa naanisha muda wa kukutana timu hizi zetu baada ya mechi za mwisho.Tatizo ni Yanga,wanatafuta kila upenyo wasikutane na mnyama. Uliona walichofanya Mapinduzi Cup na Sportpesa? Yote ni kuikimbia Simba. Wameanza mikakati ya kujinasua na Simba huko Kagame Cup wapo kundi moja. Kama unakumbuka mwaka jana walipangwa kundi moja na Simba wakazingizia wana mechi za kimataifa. Mwaka huu wamekuja na hoja wana hali ngumu kifedha
Derby bora duniani[emoji116]
Boca Juniors and River Plate
Barcelona and Real Madrid
Kuna watu leo watachapwa[emoji23]
Na hiki ndo nilikuwa nazungumziaMadrid 0-3 Barca, Aggregate 1-4
Na hiki ndo nilikuwa nazungumzia
Hii wiki sio nzuri kwao[emoji23][emoji106]...na bado kesho
Hii wiki sio nzuri kwao[emoji23]
Na kweli immefungwaBarcelona eti anafungwa
π€£π€£π€£Na kweli immefungwa
Man u tunaujua undugu wenu na Madrid jmosi pia jiandaeni kutandikwa vizuri mnoπ€£π€£π€£
Barcelona vs Real Madrid sio derby.... ni mechi kubwa duniani ila sio derby
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijapata kuona real madrid dhaifu kama ya msimu huu. Nadhani ronaldo alikua icon ya timu.