El Mereikh yaipeleka Yanga uwanja wa Mohamed Wa Tano ili kumaliza kazi mapema

El Mereikh yaipeleka Yanga uwanja wa Mohamed Wa Tano ili kumaliza kazi mapema

Mashindano ambayo ndugu yenu Azam kapigwa nje ndani juzi,na ninyi makolo mpaka mlichoma madawa uwanjani,South Africa,Lakini hamkufika hata robo fainali 🤔
Acha uongo, Simba alicheza na Pirates robo fainali.
 
El Merreikh wameondoa kituo cha kazi pale Rwanda baada ya kufuzu hatua ya awali na sasa wamechagua kiwanja cha Morroco kama kituo cha kazi kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga.

El Merreikh wanaona kule Morroco ndio wanaweza kupata mabao 4 hadi 5 ili wakija hapa Taifa kazi ya kutafuta suluhu iwe nyepesi.

Kazi kwenu mliocheza na wenye njaa jana halafu mnajisifia kuwa mnajua mpira.
Ila mseme mapema kama hao El Merreikh ni vibonde au la..!! Maana hamjambo kwa kugeuza stori
 
Hata wapeleke mwezini kuliwa kuko pale pale
 
Ila kinyesi fc huwa wanacheza na timu za wapi sjui???sasa wale si hata mbao fc inawalima bao zaidi ya tano wale.
 
Siyo uwanja wa Mohammed V bali uwanja wa Marrakech. Mechi ndogo ndogo haziruhusiwi kuchezewa uwanja wa Mohammed V.
 
Back
Top Bottom