El Mereikh yaipeleka Yanga uwanja wa Mohamed Wa Tano ili kumaliza kazi mapema

Mashindano ambayo ndugu yenu Azam kapigwa nje ndani juzi,na ninyi makolo mpaka mlichoma madawa uwanjani,South Africa,Lakini hamkufika hata robo fainali πŸ€”
Acha uongo, Simba alicheza na Pirates robo fainali.
 
El Mereikh ni timu ya mtaani, haina kwao, bora wale wa Djibout wana kwao, hivi wametokewa watarudi kwao, lakini El Mereikh wakishatolea bado hawakua na pa kwenda.

Hawa waliocheza mechi zao dar?
 
Ila mseme mapema kama hao El Merreikh ni vibonde au la..!! Maana hamjambo kwa kugeuza stori
 
Hata wapeleke mwezini kuliwa kuko pale pale
 
Ila kinyesi fc huwa wanacheza na timu za wapi sjui???sasa wale si hata mbao fc inawalima bao zaidi ya tano wale.
 
Siyo uwanja wa Mohammed V bali uwanja wa Marrakech. Mechi ndogo ndogo haziruhusiwi kuchezewa uwanja wa Mohammed V.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…