El-Merreikh kapindua meza licha ya kufungwa 3-1, bado Yanga

El-Merreikh kapindua meza licha ya kufungwa 3-1, bado Yanga

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Unaweza dharau Yanga ila yaliyowatokea wengne leo Al Hilal ataingia kwa akili sana.

Kila la heri Yanga. Mungu ibariki Tanzania, bariki Yanga yetu.

Kwa hisani ya @mamabongeeeeee
 

Attachments

  • Screenshot_20221016-012057.png
    Screenshot_20221016-012057.png
    238 KB · Views: 1
Mkuu naimani uliyafanyia kazi maoni ya wadau ya kurudi darasani ili uwezi kuimprove writing skills. Hongera.
 
Kapindua meza kivipi wakati mechi ya Kwanza alikuwa nyumbani na akashinda bao mbili.

Mechi ya pili ndo amepoteza ugenini Kwa 3-1 hivyo amepita Kwa bao la ugenini..au Mimi ndo sijui maana ya kupindua meza?
Mkuu hawa wevurugwa wiki hii.wasamehe bure
 
Unaweza dharau Yanga ila yaliyowatokea wengne leo Al Hilal ataingia kwa akili sana.

Kila la heri Yanga. Mungu ibariki Tanzania, bariki Yanga yetu.

Kwa hisani ya @mamabongeeeeee
hii sio dhana sahihi ya kupindua meza
 
Back
Top Bottom