Baada ya furaha ya kufuzu raundi nyingine kwa Yanga, leo tuwe pamoja kwa wawakilishi wengine wa Tanzania, Azam FC. Tukumbuke mechi ya kwanza iliyochezwa Dar es Salaam, Azam ilishinda goli mbili bila.
===========
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mpira kati ya El Merrikh na Azam FC
16' Goooooool, El Merreikh wanafunga goli la kwanza
29' Himidi yuko chini kutokana na maumivu, magoli bado 1-0
32' Mabadiliko: John Bocco anaingia kuchukua nafasi ya Brian
39' Himidi Mao anapewa kadi ya Njano
42' Shomari Kapombe anapewa kadi ya njano na mpira wa adhabu kuelekea lango la Azam FC
45+' Salum Abubakar anaangushwa chini na unapigwa mpira wa adhabu ndogo kuelekea El Merreikh
45+' Mpira unaenda mapumziko na magoli yanasalia 1 kwa Wasudan na 0 kwa Azam FC
45' Kipindi cha mapumziko kimekwisha, mpira umeanza na El Merreikh wanapata penati kuelekea Azam
46' El Merreikh wanakosa penati kwa kupiga mpira nje
54' Mabadilio El Merreikh: Aimar Said anaingia kuchukua nafasi ya Abdallah
57' Mabadiliko Azam FC: Frank Domayo anaingia, Magoli bado 1-0
70' Manula anajitahidi kuokoa na unakuwa mpira wa kona
72' Muhidin Mao anaugulia maumivu na kusaidiwa na watu wa huduma ya kwanza, matokeo bado 1-0
78' Mabadiliko Azam: Said Morad anaingia kuchukua nafasi ya Kipre Tcheche
84' Gooool: El Merreikh wanapata goli la pili baada ya ahmed Abdallah kupiga mpira wa kichwa
87' Kunatokea vurumai uwanjani hapa na wachezaji wa El Marreikh wanamzonga refa
90+' El Merrikh wanapata goli la tatu
*Mpira umekwisha kwa tamati ya 3-0 hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa El Mereikh 3-2 Azam hivyo Azam wanashindwa kuendelea na mashindano, pole yetu sote
===========
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mpira kati ya El Merrikh na Azam FC
16' Goooooool, El Merreikh wanafunga goli la kwanza
29' Himidi yuko chini kutokana na maumivu, magoli bado 1-0
32' Mabadiliko: John Bocco anaingia kuchukua nafasi ya Brian
39' Himidi Mao anapewa kadi ya Njano
42' Shomari Kapombe anapewa kadi ya njano na mpira wa adhabu kuelekea lango la Azam FC
45+' Salum Abubakar anaangushwa chini na unapigwa mpira wa adhabu ndogo kuelekea El Merreikh
45+' Mpira unaenda mapumziko na magoli yanasalia 1 kwa Wasudan na 0 kwa Azam FC
45' Kipindi cha mapumziko kimekwisha, mpira umeanza na El Merreikh wanapata penati kuelekea Azam
46' El Merreikh wanakosa penati kwa kupiga mpira nje
54' Mabadilio El Merreikh: Aimar Said anaingia kuchukua nafasi ya Abdallah
57' Mabadiliko Azam FC: Frank Domayo anaingia, Magoli bado 1-0
70' Manula anajitahidi kuokoa na unakuwa mpira wa kona
72' Muhidin Mao anaugulia maumivu na kusaidiwa na watu wa huduma ya kwanza, matokeo bado 1-0
78' Mabadiliko Azam: Said Morad anaingia kuchukua nafasi ya Kipre Tcheche
84' Gooool: El Merreikh wanapata goli la pili baada ya ahmed Abdallah kupiga mpira wa kichwa
87' Kunatokea vurumai uwanjani hapa na wachezaji wa El Marreikh wanamzonga refa
90+' El Merrikh wanapata goli la tatu
*Mpira umekwisha kwa tamati ya 3-0 hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa El Mereikh 3-2 Azam hivyo Azam wanashindwa kuendelea na mashindano, pole yetu sote