Vilabu vya bongo acheni choyo mwacheni Manula akale maisha hapo Simba mnamlipa kiasi ganiWanautani hao Manula thamani yake ni kubwa mno sio wa kumgombea kwa dau hilo. Ni goal keeper ambaye hata kukiwa na wachezaji watatu uwanjani bado yale mashaka ya kufungwa huyapati...
Maisha anayokula pale simba hakuna sehemu nyingine ndani ya africa atayapataVilabu vya bongo acheni choyo mwacheni Manula akale maisha hapo Simba mnamlipa kiasi gani
Kama manula ni shati basi kina chokala wakiwa golini si ndo kama bikini imeanikwaShati
Sijui huwa wanarogwa na nani!Inanikumbusha sakati la Ngasa mshahara wa 80M kwa mwezi akajinasibu anaipenda Yanga. Hahaha
Mbona ndogo sanaTetesi: Klabu ya El Merreikh ya Sudan inadaiwa kuwa inataka kumsajili golikipa wa Simba Aishi Manula ,25, kwa dola 100,000 (Tsh milioni 231) na mshahara wa dola 8000 (Tsh milioni 18.5) kwa mwezi."View attachment 1737958
Ndogo sana hio kwa manula.Kipaji kinalipa mazee. Milioni 18.5 kwa mwezio sio mchezo kwa maisha yetu haya.
Kwani kabaniwa??Daah...! Jamani Tanzania wachezaji ni kwa nini wanabaniwa sana wanapotakiwa nje?. Check mpunga huo. Namuombea kijana amwache aende akapige huo mpunga wa mwisho wenye kheri kwenye soka lake
Mwaka tu ulishafuta umaskini ndani ya nyumba. Bado match bonus hapo na signon feeMwache akapokee hela za kuufuta umaskini, ambazo simba wanapata wageni tu kina chama na miquissone , mshahara wa milion 18 ni mafao ya mtu aliefanya kazi miaka kibao.. unakukomboa vizuri ukiwa makini
Kakolanya pamoja na kukaa benchi hakuna hata kipa wa yanga anayefikia nusu ya mshahara wakeVilabu vya bongo acheni choyo mwacheni Manula akale maisha hapo Simba mnamlipa kiasi gani