Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
-
- #21
Unaongea nn wwSasa huyo messi amekifanya nini kwenye hizi classico 4 za mwaka huu? hata goli moja hana zaidi ya kuzunguka tu uwanjani
Brother unakosea unavyosema hivyo, sisi waislamu tumefundishwa kuwa anaejua Ghayb/mambo magumu yasiojulikana au kutabirika ni Allah azza wa Jalla/Hidden World ni Allah peke yake yeye ndio ana elimu hiyo
Messi ni kiumbe kama viumbe wengine na Allah huumba anavyopenda na anaweza kuja umba Zaidi mara kuliko kuliko huyo Messi, Wallahu yakhluku maa yashaa
Yani mwanzo nimejua utatoa madini kumpinga kwa fact kuwa Messi si mchezaji bora nashangaa umeanza mahubiri tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother unakosea unavyosema hivyo, sisi waislamu tumefundishwa kuwa anaejua Ghayb/mambo magumu yasiojulikana au kutabirika ni Allah azza wa Jalla/Hidden World ni Allah peke yake yeye ndio ana elimu hiyo
Messi ni kiumbe kama viumbe wengine na Allah huumba anavyopenda na anaweza kuja umba Zaidi mara kuliko kuliko huyo Messi, Wallahu yakhluku maa yashaa
Shukran kunielimisha kaka, Allah akujaze kheiri!
Na wewe pia