Elclasico kabla na baada ya Messi

Yani mwanzo nimejua utatoa madini kumpinga kwa fact kuwa Messi si mchezaji bora nashangaa umeanza mahubiri tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mwanzo nimejua utatoa madini kumpinga kwa fact kuwa Messi si mchezaji bora nashangaa umeanza mahubiri tena!

Sent using Jamii Forums mobile app


Nishakupa fact hapo kuwa Allah huumba anavyotaka, akitaka kuumba mtu mrefu sana huwa hivyo, akitaka kuumba mtu mwenye akili sana iwe za kimpira pia huwa hivyo, akitaka kuumba mtu mwenye mbio sana(Pace) pia huwa hivyo
 

Shukran kunielimisha kaka, Allah akujaze kheiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…