Eldoret bypass pictorial (Under construction)

Na bado, flyovers kila kona hadi mashambani, from Kisumu(complete highway to Lodwa) kuna several all the way to Kitale; apart from za Kisumu, kuna overpass Chavakali, an interchange junction ya ku connect Kakamega road from Eldoret-Malaba highway, in webuye place inaitwa "kwa Dinna juction" joining Kitale road off Eldoret-Malaba highway again, when entering Kitale town there is n.k., kwa wengine ni Dar pekee, Kenya watu mashambani washazichoka sasa.
Tamu sana hii, mliosema maendeleo ya Kenya yapo Nairobi pekee yake basi mkome, yaani my home town Eldy hadi raha.....
 
Yah round about nusu nusu zinawafanya muandike Uzi...Tz hatuna muda wa kubrag vitu vidogo hivyo
 
Kenya mna nchi mbaya sana, hilo ni jangwa???
Kenya ni nchi mbaya sana kwa kauli yako, pia ni jangwa, lakini tuko juu yenyu LDC kwa vitu vingi tu, na mnajidai mko na kila kitu huoni ni aibu kubwa kuwa mahali mpo![emoji23][emoji23]
 
Kisumu hata dar haiwezi fikia sahii. [emoji23].
Kenya might have overtaken Morocco by now.
View attachment 1488350
 

Attachments

  • images%20-%202020-06-15T142257.045.jpg
    61.2 KB · Views: 1
  • 392999184.jpg
    48.6 KB · Views: 2
Kenya ni nchi mbaya sana kwa kauli yako, pia ni jangwa, lakini tuko juu yenyu LDC kwa vitu vingi tu, na mnajidai mko na kila kitu huoni ni aibu kubwa kuwa mahali mpo![emoji23][emoji23]
Mnatuzidi nini ambacho kwako ni kila kitu!!!!

Njaa,maambukizi ya covid,uhalifu,rushwa,ukosefu wa ajira,na deni la taifa.
 
That's the few negatives that have filled your head kaka[emoji23][emoji23], pia kwenyu kuna negatives,(and almost all countries kuna list) ni uchungu kuona nchi yenye challenges kibao kama Kenya iko juu yenyu, yani ni aibu mno., miaka hii yote tangu Uhuru ama mumalize "kusaidia kukomboa Africa kusini", (like u actively participated at all[emoji23]), what have u been doing?., musisingizie mambo yasio kuwa na msingi kwa maendeleo mnayofaa kukua nayo. Blame it on your useless CCM.,
Mnatuzidi nini ambacho kwako ni kila kitu!!!!

Njaa,maambukizi ya covid,uhalifu,rushwa,ukosefu wa ajira,na deni la taifa.
 
Hamna uchungu wowote zaidi tunashangaa kwanini hamko zaidi ya hapo!!![emoji16][emoji16],maana wazungu mmekaa nao wameishia kuhodhi ardhi na kuwafundisha kiingereza.

Sisi wakati uchumi ndio unaanza kutambaa,tukakaingia vitani na uganda,mara mozambique nk.

Tunachofanya ni kujenga base yetu ya kijamaa,ndio maana hatuwaelewi,uchumi mkubwa tu 99$bln na bado mnakopa kopa kama wahuni tu,deni linazidi kukua.wakati sisi tuko na $60bln na tunawasumbua vibaya,kuanzia kwenye maamuzi mpaka maisha ya mtu mmoja mmoja.
 
2023 Loading........... (The first elevated highway in east ,central and parts of southern africa except south africa.
 
Sasa Japan wamekopa over 200% ya GDP na Uchumi mkubwa ambao ni wa tatu duniani, ina maana mko sawa kuwashinda, akili za vijiweni, hizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tajiri anaweza kopa shillingi millioni mia moja za Tanzania, yani zaidi ya mapato yake ama utajiri wake, na maskini kama wewe ukope shillingi elfu mia tano za Kitanzania, kidogo kuliko mapato yako ama utajiri wako, sasa huwezi kupiga kifua eti unamshinda tajiri kwa sababu ana deni kubwa kuliko yako, nyambaff rudi shule baada ya corona ujifunze economics[emoji23][emoji23][emoji23].,
Ya pili vita vya Uganda havikuchukua muda mrefu, na mulisaidiwa na rebels, Rwanda wametoka vitani 1994, worse yenye Tanzania haijawai pitia lakini angalia hatua walio piga kwa less than 20 years!, Angola wametoka long civil war majuzi tu, na wametumia oil yao kupaa na kuwapiku kwa mbali tena sana!! nyie muliwacha vita miaka mingi imepita, mko na ardhi na madini kwa wingi, lakini wapi!! peace keeping missions ata Kenya tumeshiriki those days, kama Sierra Leone na Bosnia., so hamuna cha kusingizia, CCM ni ovyo na raiya wengi Tanzania ni wazembe. So peleka ujinga mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…