Eldoret Southern Bypass - Under Construction

Eldoret Southern Bypass - Under Construction

Works on the Eldoret Bypass are at an advanced stage. Major structures and interchanges which include Leseru (Maili Tisa), Railway Bridge, Sosiani River Bridge, Simat Bridge, Lemook Bridge and Kapseret Interchange have began taking shape. Works on the Cheplaskei Interchange will commence in April 2020.

89652960_1547222035441137_7915405567231787008_o.jpg


89785684_1547222092107798_4339550508231426048_o.jpg


89808230_1547221908774483_8244651257562660864_o.jpg
Kipindi cha utoto wetu wakati wa Rais Moi, kila baada ya taarifa ya habari kwa njia ya redio, kuna wimbo ulikuwa ukipigwa una maneno yanasema, ........... SISI WANA KENYA TUMEAPA, KUWA NAWE PAMOJA SIKU ZOTE. WEWE NDIYE RAIS MOI DEREVA, WETU KENYA HATUNA MWINGINE.
Ilikuwa zamani, sijui kuna mtu humu jukwaani anaweza akawa anazikumbuka nyimbo hizi. Zilikuwa nzuri sana, nilikuwa nasubiria taarifa ya habari iishe haraka halafu nisikilize wimbo utakaopigwa baada ya taarifa hiyo!
 
Kipindi cha utoto wetu wakati wa Rais Moi, kila baada ya taarifa ya habari kwa njia ya redio, kuna wimbo ulikuwa ukipigwa una maneno yanasema, ........... SISI WANA KENYA TUMEAPA, KUWA NAWE PAMOJA SIKU ZOTE. WEWE NDIYE RAIS MOI DEREVA, WETU KENYA HATUNA MWINGINE.
Ilikuwa zamani, sijui kuna mtu humu jukwaani anaweza akawa anazikumbuka nyimbo hizi. Zilikuwa nzuri sana, nilikuwa nasubiria taarifa ya habari iishe haraka halafu nisikilize wimbo utakaopigwa baada ya taarifa hiyo!
Fimbo ya nyayo,
Fimbo ya nyayo,
Yatuongoza kwenda wapi...😄

Hata sisi tulikuwa na Praise Team nyakati zile 😂😂
 
Back
Top Bottom