Electronics hardware na changamoto zake

wililo

Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
78
Reaction score
27
Habari wataalamu wa biashara!

Nina wazo la kuanzisha biashara ya vifaa vya umeme pamoja na vyombo vya umeme. Naomba Kwa mtu mwenye uzoefu anipe mwongozo Kwa upande wa faida na changamoto za hii biashara!

Nipo Kagera- Biharamulo
Naomba kuwasilisha madam!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…