Kama binadamu wengine tulivyo, alikua na mapungufu yake. Lakini atakumbukwa daima kwa kuweka maslahi ya nchi mbele kuliko yake binafsi.
Ameacha alama kwamba aliwahi kuishi duniani. Najiuliza kila mara, siku nikimaliza safari yangu hapa duniani, ntakumbukwa kwa lipi?