Kubababakeee weka weka weka..... humu tu huku tuš¤£š¤£Hapo ndipo voda walipotuchapa kumbe𤣠maana sijaona hizo 50Mbps kwenye traffic. Mzigo upo slow kiqumar yani. Mwanzoni ilikuwa kweli movie ya 1GB ndani ya dakika 15 imeshuka. Ila sahizi hata ku stream youtube ni kipengele. Wezi sana Voda na kifurushi kimelipiwa kama kawaida.
OkMBPS = Mega Bytes Per Second
Mbps = Mega Bits Pee second
Byte 1 ni sawa na Bits 8.
Ukiuziwa internet unlimited unaambiwa ina speed ya 10Mbps haimaanishi MB 10 kwa sekunde, maana yake inaweza ku download 10/8 = 1.25 MB kwa sekunde.
Nimeleta huu uzi baada ya jamaa aliyelipia bando ya 100Mbps kulalamika ina download slow tofauti na speed yake iliyotangazwa. Hii 100Mbps ni sawa na 12.5 MB kwa sekunde.
So guys leo nimeona nipite na hii tukuzane kidogo. Mod naomba muiache humu sio kama sijui jukwaa la tech lakini nataka ifikie kila mtu.
Wacenge sana hao Voda, speed wameipiga pini af wanajidai ni unlimited.Nina Router 3
Airtel,Voda,Tigo
Katika watu waongo niseme VODA ni wezi walahi hamna mtandao wezi na waongo kama Voda.
Router lao lipo tu, washantumia ma invoice yao saivi washanchoka.