Hakuna emoji ya nimekupakata...π
Msela nondo huyoPunguza kujifanya unajua kumbe haujui
Mwanao Intelligent businessman , alipata ajali mbaya akawa katika hodi wa wagonjwa mahututi mpaka sasa bado hajawa fiti , taarifa zake unazo ?π
Aisee mbona mnachafua hali ya hewa, sawazisha hisia zako halafu urudi tena, huwa sifanyi mambo ya kijinga yaliyopitiliza hadharaniInashangaza
π» or π ???π¦π¦π¦π¦π¦
Ndo hayo sasa ya kubebishana na mwanaume mwenzio πΉπΉ nenda pm unatushangaza tunaokuheshimu japo hatukujui .....Aisee mbona mnachafua hali ya hewa, sawazisha hisia zako halafu urudi tena, huwa sifanyi mambo ya kijinga yaliyopitiliza hadharani
lishangazi linalotokwa namakamasiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π©ββ€οΈβπ¨
Naona unataka kuniingiza kwenye trap but siko interested na chokochoko zako. Nimekwambia sawazisha hisia zako ndio urudi humu. Usitafute vita vya maneno kwenye sehemu ya kusocializeNdo hayo sasa ya kubebishana na mwanaume mwenzio πΉπΉ nenda pm unatushangaza tunaokuheshimu japo hatukujui .....
Hii ni taarifa ya kweli au ? Nikiwa Arusha niliwasilian nae mala kadhaaMwanao Intelligent businessman , alipata ajali mbaya akawa katika hodi wa wagonjwa mahututi mpaka sasa bado hajawa fiti , taarifa zake unazo ?
Nilimpigia siku moja kama miezi miwili iliyopita nitamcheki6 kesho aiseeHii ni taarifa ya kweli au ? Nikiwa Arusha niliwasilian nae mala kadhaa
Sawa, mkuu.Nilimpigia siku moja kama miezi miwili iliyopita nitamcheki6 kesho aisee
π€·πΏββοΈπ₯΄π₯΄π₯΄π₯΄