Elezea hali yako now kwa emoj Moja tu

Elezea hali yako now kwa emoj Moja tu

Nifanyeje totoo ili niache maana Kuna muda hivi vinywaji vinanipa usingizi mtamu sana shida ni nkiamka natetemeka
Mmmh hadi kutetemeka!!! Mbona una hali mbaya sasa🙆

Ukiamua kuacha, basi utaacha tu. Amua ikingali mapema.
 
Mmmh hadi kutetemeka!!! Mbona una hali mbaya sasa🙆

Ukiamua kuacha, basi utaacha tu. Amua ikingali mapema.
Kumekucha mama chanja!!!
Screenshot_20240831-100953.png
 
[emoji483]+🫦([emoji97]+[emoji160])= [emoji3059]
Find [emoji1768]?

Solution:
[emoji1768]+[emoji3059]=([emoji533]+[emoji527])= [emoji97][emoji2961]
[emoji97][emoji2961]-[emoji1768]?

Naomba mmalizie hiyo equation mpk tupate thamani ya [emoji3059]
Uduguuu, usituchoshee wee sema una nyegee, na unatakaa kuzagamuliwaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila huwa nafurahi sana watu wanavyoteseka na mie, yaan wameshindwa kufinyia moyoni, wameamua waoneshee wazii kuwa wanaumiaaa.

Aiiiiih mambo nayapendaa mie hayaaa!!! Na huyo ndo Coca atawatesaa sanaaa, hapoo tyuuh hajawaibia mabwana zenu na mnavurugwa hivyoo.

Watuu weuweeeeeee!!!!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Mshangao
Reactions: 650
Seriously??
Ndio yaani nusu kufa , ila sasa ametoka kwa wagonjwa mahututi yupo chumba Cha wagonjwa wa kawaida anaendelea vizuri ila chini ya aungalizi wa madakatari simu bado hajaruhusiwa kutumia , Kuna mtu wa Familia nachat nae Wasap ndio ananipe updates zake. .
 
  • Thanks
Reactions: 650
Back
Top Bottom