Eli Sasii ni bonge la Mwamuzi ila ana matatizo makubwa mawili ambayo kakataa kabisa kuyaacha

Eli Sasii ni bonge la Mwamuzi ila ana matatizo makubwa mawili ambayo kakataa kabisa kuyaacha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Hupenda Kukinga Kote Kote (Kwetu na Kwao)
2. Hupenda mno Kulazimisha 'Derby' iwe na ama Sare (ya Magoli) au Suluhu (bila ya Magoli)
3. Huwa ni Muoga na ana Maamuzi ya Kujishtukia na Kutotaka lawama kwa Kote ambako amekinga

Na najua Mechi ya Kesho kwa tabia zake tajwa hapa juu iwe isiwe atalazimisha Mechi iende 90 ikiwa sare za aina Mbili nilizozitaja hapa juu ili Watu wote (Timu zote) zikamalizane Wenyewe kwa Wenyewe katika Mikwaju ya Penati ili ajiweke Salama kwa Wote kuwa amekinga zao ila hajawabeba.

Kwa wale tu ambao mnabeti nawapeni mapema mwelekeo wekeni Sare ya Magoli au ya Suluhu kwa dakika 90 sawa?
 
Pale uwanja wa Benjamin Mkapa si kuna kituo cha bus pale nje? Achezeshe tu ila wakati wa kumaliza mpira anamalizia kituo cha basi akiwa ameshadandia daladala ya kwenda kwao, anamaliza mpira huku anakimbilia ndani ya kambi ya jeshi.
 
Pale uwanja wa Benjamin Mkapa si kuna kituo cha bus pale nje? Achezeshe tu ila wakati wa kumaliza mpira anamalizia kituo cha basi akiwa ameshadandia daladala ya kwenda kwao, anamaliza mpira huku anakimbilia ndani ya kambi ya jeshi.
View attachment 3063667
Game ya Kesho kwa ninavyomjua atailazimisha kwa kila namna iende Sare / Suluhu dakika 90 ili wakamalizane katika Penati ajitoe katika Lawama.
 
Bora huyu Sasii, kuliko limbulu lile na ile mimacho yake plus sifa za kujishaua km limwanamke liliona danga.jipyaa.

Linapewa tuzo za mchongo tyuuh, silipendi km nini lile li mbwaa.
Mxxxxiiiieeeew zake.
 
Pale uwanja wa Benjamin Mkapa si kuna kituo cha bus pale nje? Achezeshe tu ila wakati wa kumaliza mpira anamalizia kituo cha basi akiwa ameshadandia daladala ya kwenda kwao, anamaliza mpira huku anakimbilia ndani ya kambi ya jeshi.
View attachment 3063667
Umenikumbusha mbali sana miaka ya 2005 Arusha uwanja wa Olorien shule ya msingi kombe la mbuzi. Kilichomuokoa refa ni mbio na kituo cha polisi kuwa karibu.
 
Bora huyu Sasii, kuliko limbulu lile na ile mimacho yake plus sifa za kujishaua km limwanamke liliona danga.jipyaa.

Linapewa tuzo za mchongo tyuuh, silipendi km nini lile li mbwaa.
Mxxxxiiiieeeew zake.
Kwenye ngono upo fea ila sasa kwenye soka unakuwa simba jike

USSR
 
Bora huyu Sasii, kuliko limbulu lile na ile mimacho yake plus sifa za kujishaua km limwanamke liliona danga.jipyaa.

Linapewa tuzo za mchongo tyuuh, silipendi km nini lile li mbwaa.
Mxxxxiiiieeeew zake.
Siyo kwa mfyonzo huo kama mke mwenzio hahaha una ndomo reeeefu
 
Back
Top Bottom