Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Ndugu Elia Nakusalimu!!!

Ujumbe Wangu Kwako!

Kwanza Hongera kwa Kuchukua Fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu,Ni dhahiri Umejitafakari na kuona Uwezo,Nia na Uthubutu unao wakutosha kuhimili Vurugu,Fujo na karaha zote za Kusaka Ubunge, HONGERA SANA.

Ndugu Elia Unakumbuka Ule Uchaguzi wa Marudio??ukiwa CDM, Nikweli Ulikuwa na Upepo na Ulionekana kuwa Tuna kwenye Vyama vya Siasa,Ukajikuta Umekuwa Maarufu kuliko shilingi ya Nyerere, bahati Mbaya Hukuju UMARUFU NI HARUFU kila sehemu Hupenya.

Ukapenya Kwenye Zile Balozi Maarufu,Wanaharakati Wakawa Marafiki ukasifika na Kusikika Elia kijana Mchachali,Kote Ukavuma Hukuju kuwa Ng'oma ikivuma Sana imekaribia kupasuka.Hahaha

Ukazidiwa akili tamaa na Uchu vikakugubika Masikini,Ukasahau Kuwa siasa hazina Mwema,Shetani mwenyewe huitaji siasa,Rejea kisa Cha Musa alivyo kufa,kisa Cha Ayubu pamoja na Visa vingi Kama Hivyo,Wazungu husema "Don't trust anybody and Suspect all"Msemo huu ulikupita Kaka

Nutaendelea Kaka...
 
Hii ni "Hail Mary pass" kwake. Akishinda angalau atakuwa na miaka mitano ya kujijenga kisiasa. Akishindwa ataishia jalalani na hakuna atakaempa hata salamu ya siku. Atabaki kuja humu kujaribu kujikumbusha ule wakati alipokuwa "viral".

Amandla...
 
Ndugu Elia Nakusalimu!!!

Ujumbe Wangu Kwako!

Kwanza Hongera kwa Kuchukua Fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu,Ni dhahiri Umejitafakari na kuona Uwezo,Nia na Uthubutu unao wakutosha kuhimili Vurugu,Fujo na karaha zote za Kusaka Ubunge, HONGERA SANA.

Ndugu Elia Unakumbuka Ule Uchaguzi wa Marudio??ukiwa CDM, Nikweli Ulikuwa na Upepo na Ulionekana kuwa Tuna kwenye Vyama vya Siasa,Ukajikuta Umekuwa Maarufu kuliko shilingi ya Nyerere, bahati Mbaya Hukuju UMARUFU NI HARUFU kila sehemu Hupenya.

Ukapenya Kwenye Zile Balozi Maarufu,Wanaharakati Wakawa Marafiki ukasifika na Kusikika Elia kijana Mchachali,Kote Ukavuma Hukuju kuwa Ng'oma ikivuma Sana imekaribia kupasuka.Hahaha

Ukazidiwa akili tamaa na Uchu vikakugubika Masikini,Ukasahau Kuwa siasa hazina Mwema,Shetani mwenyewe huitaji siasa,Rejea kisa Cha Musa alivyo kufa,kisa Cha Ayubu pamoja na Visa vingi Kama Hivyo,Wazungu husema "Don't trust anybody and Suspect all"Msemo huu ulikupita Kaka

Nutaendelea Kaka...
We kajamaa huna mvuto hata mwonekano wako ni wa hovyo upo kama una kwashakoo
 
Nywele uwe unatana maana zina vumbi hatari au hela ya salon hauna tukuchangie
 
Polepole kasema wote wanaorudisha form bila kuvaa kijani basi wajue washakatwa tayari. Shukrani kwa kukichangia Chama
 
Nashukuru Mungu nimejaza na kuirudisha fomu



Ww dogo ni mshamba wa ajabu, kwa taarifa yako kuchukua fomu za ugombea unapaswa kwenda ukiwa umevaa sare ya chama. Hao waliokununua naona hawakukueleza utaratibu. Sasa subiri uone utakavyoenguliwa kwa kushindwa kujua sheria za chama kilichokununua.

Halafu wenzako wanasema huku jukwaani hamna wapiga kura, sasa ww unakuja kumpa nani taarifa humu?
 
Ww dogo ni mshamba wa ajabu, kwa taarifa yako kuchukua fomu za ugombea unapaswa kwenda ukiwa umevaa sare ya chama. Hao waliokununua naona hawakukueleza utaratibu. Sasa subiri uone utakavyoenguliwa kwa kushindwa kujua sheria za chama kilichokununua.

Halafu wenzako wanasema huku jukwaani hamna wapiga kura, sasa ww unakuja kumpa nani taarifa humu?
Hahahaaaaaaa duh
 
Back
Top Bottom