Elias Mpanzu ni Kibu Denis aliyechangamka

Elias Mpanzu ni Kibu Denis aliyechangamka

Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Kwani mpaka sasa yule Skudu Makudubela mliyemnunua kutoka Gallants ana goli ngapi. Tuanzie hapo kwanza achana na Chama, Baleke na Mkude
 
Elias? Simba hatuna mchezaji anayeitwa elias huyo mchezaji hatuna kwa hakika hatuna mamdogo.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Jana alikuwa anarukaruka tu kama maharage jikoni,,walivyokuwa wanamuimba utadhani ni bonge la mchezaji kumbe ni kibu Denis aliyechangamka,,
Ndio kwanza ameanza, huyo ni wa kupewa muda amekaa muda mrefu bila kucheza so lazima performance ishuke
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated


IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Ellias Mpanzu ndio nani..acha kuchafua majina ya watu.
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Eti unajua mpira 🤣🤣🤣
Mashabiki maandazi mna shida sana.
Yeye anacheza mpira kwa maelekezo ya Mwalimu wake. Sio kwa kelele na maelekezo ya Keyboard fans kama wewe
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Huyu mjinga anafanya propaganda ambayo sio muda baadhi ya mashabiki wapuuzi wa Simba wataambukizwa.

Wameambukizwa kwa Joshua Mutale na sasa ana hati hati ya kuendelea kuwepo.Sijui kwa nini hii timu mtu akiwa na energy hapendwi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Mpanzu ni gongo kwenye chupa ya Konyagi
 
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.

Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.

Mpanzu ni overrated
Hamna mchezaji mle.
 
Back
Top Bottom