Kwani mpaka sasa yule Skudu Makudubela mliyemnunua kutoka Gallants ana goli ngapi. Tuanzie hapo kwanza achana na Chama, Baleke na MkudeMpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
Uyo ni machachari hana uhatari wowote ni sawa na mutale tuMPANZU ni hatari sana akiwa na mpira huwezi kufananisha na kichaa kama DUBE
Ndio kwanza ameanza, huyo ni wa kupewa muda amekaa muda mrefu bila kucheza so lazima performance ishukeJana alikuwa anarukaruka tu kama maharage jikoni,,walivyokuwa wanamuimba utadhani ni bonge la mchezaji kumbe ni kibu Denis aliyechangamka,,
Hujaona mpira jana?Kazi ipi kafanya vzr?
Kunywa soda nakuja kulipa wew ndo ume elewa point yanguUyo ni machachari hana uhatari wowote ni sawa na mutale tu
Eliasi WA kijijini Kwao🤣🤣🤣Elias? Simba hatuna mchezaji anayeitwa elias huyo mchezaji hatuna kwa hakika hatuna mamdogo.
Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
jifunze kuandika kwanza.Yote kwa Yote Mwarabu Kapasuka Bado Point 1 Kufudhu Je Wewe Mwenye Wachezaji Wanaofunga Bado Point Ngapi Mfudhu?
Na We Jifunze Kutoelewa Unachosoma.jifunze kuandika kwanza.
Ellias Mpanzu ndio nani..acha kuchafua majina ya watu.Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
Eti unajua mpira 🤣🤣🤣Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
Huyu mjinga anafanya propaganda ambayo sio muda baadhi ya mashabiki wapuuzi wa Simba wataambukizwa.Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
Mpanzu ni gongo kwenye chupa ya KonyagiMpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated
Hamna mchezaji mle.Mpaka sasa hana goli ila mashabiki watasema anacheza vizuri, kwa sisi tunaojua mpira hadi useme amecheza vzr tunarudi kwenye numbers zake ana assist ngapi ana pre-assist ngapi awe mtu wa tatu kuusika kabla ya goli?.
Mpanzu ni machachari sio hatari ana work rate kubwa tu kama Kibu wanakupa nishati ya kutosha kwenye third party ya mpinzani ila kwenye kumi na nane ndani ya box sio mbunifu, sio mtulivu hana target Bora.
Mpanzu ni overrated