changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Sidhani kama kuna shida kutangazwa, ila kucheza ndio haruhusiwi mpaka dirisha la usajili lifunguliwe.Yeah, na hata kama amesajiliwa basi kutangazwa itabidi wasubiri mpaka Januari wakati dirisha dogo litakapofunguliwa