Tetesi: Elie Mpanzu kutua Yanga kabla ya Weekend hii

Tetesi: Elie Mpanzu kutua Yanga kabla ya Weekend hii

Kuna taarifa kuwa boss wa AS Vita Club amemvutia waya Engineer Hersi kumweleza kuwa mchezaji Elie Mpanzu (wabongo wananwita Elia) amerudi Congo na hajafanikiwa kusajiliwa Belgium.

Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na ameonesha kuvutiwa na project ya Yanga.

Soma Pia:
Inasemekana Engineer ameomba atoe majibu kesho kabla ya saa 5 asubuhi ili apate muda wa kuuliza benchi la ufundi kama kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji na endapo benchi litasema kuna uhutaji basi atatua kabla ya weekend ya kesho kutwa.
Shida ni kwamba kwasasa mfumo wa Yanga, hautumii Wingers asili ambao kazi yao ni kukimbiza na kupiga cross pekee.

Kazi ya kukimbiza na kupiga cross wanafanya FULL BACKS kina Yao na Boka.


Huyo Mpanzu anacheza winger au attacking midfielder???

Hata kwenye attacking midfielder Kuna kina Chama, Pacome, Aziz,Maxi, anacheza wapi??
 
Kuna taarifa kuwa boss wa AS Vita Club amemvutia waya Engineer Hersi kumweleza kuwa mchezaji Elie Mpanzu (wabongo wananwita Elia) amerudi Congo na hajafanikiwa kusajiliwa Belgium.

Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na ameonesha kuvutiwa na project ya Yanga.

Soma Pia:
Inasemekana Engineer ameomba atoe majibu kesho kabla ya saa 5 asubuhi ili apate muda wa kuuliza benchi la ufundi kama kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji na endapo benchi litasema kuna uhutaji basi atatua kabla ya weekend ya kesho kutwa.
Nimesoma jina lako nikagundua upo kwenye kazi yako (comedy)
 
Timu zinazocheza michuano ya CAF hatua ya awali, mfumo wa usajili si tayari umeshafungwa na timu ina mchezo wiki hii wa klabu bingwa?
Labda kama ingizo la dirisha dogo ama atumike kwenye michuano ya ndani kwa dirisha hili.
 
Si makolo mnahitaji mshambuliaji?
Mchukueni sasa.

Mchukueni kabakisha miezi mitano.
Nina uhakika Hersi akimwambia anamuhitaji hataondoka hata kama Simba itampa dau kubwa zaidi. Wakati mwingine wachezaji wanaangalia project husika inaweza kumpa nini nje ya marupurupu.

Ila hili nimeona kwa muda sasa mnamchukulia poa sana yule mshkaji. Kipindi Mayele yupo, Musonda alikuwa anaenda naye sambamba vizuri tu hadi kuna siku niliwahi kusema Mayele anamuonea gere.
 
Nina uhakika Hersi akimwambia anamuhitaji hataondoka hata kama Simba itampa dau kubwa zaidi. Wakati mwingine wachezaji wanaangalia project husika inaweza kumpa nini nje ya marupurupu.

Ila hili nimeona kwa muda sasa mnamchukulia poa sana yule mshkaji. Kipindi Mayele yupo, Musonda alikuwa anaenda naye sambamba vizuri tu hadi kuna siku niliwahi kusema Mayele anamuonea gere.
Hersi hawezi mzuia Musonda, we nenda na tena mchezaji akibakisha miezi chini ya sita anaruhusiwa kuongea na timu yoyote. Nendeni tu wazee bil 7,tena yule hamlipi signing fees mnamsubiria January mnamchukua.
 
Kuna taarifa kuwa boss wa AS Vita Club amemvutia waya Engineer Hersi kumweleza kuwa mchezaji Elie Mpanzu (wabongo wananwita Elia) amerudi Congo na hajafanikiwa kusajiliwa Belgium.

Boss huyo ambaye ni askari jeshi amesema kuwa mchezaji huyo yuko tayari kuja Yanga endapo atapata nafasi na ameonesha kuvutiwa na project ya Yanga.

Inasemekana Engineer ameomba atoe majibu kesho kabla ya saa 5 asubuhi ili apate muda wa kuuliza benchi la ufundi kama kuna haja ya kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji na endapo benchi litasema kuna uhutaji basi atatua kabla ya weekend ya kesho kutwa.
Tetesi tu
 
Kichekesho iki Nipige ngapi ngapi kirudie tena 😂😂😂,
Kupata kichekesho Piga KMC!

-1843882581.jpg
 
Hersi hawezi mzuia Musonda, we nenda na tena mchezaji akibakisha miezi chini ya sita anaruhusiwa kuongea na timu yoyote. Nendeni tu wazee bil 7,tena yule hamlipi signing fees mnamsubiria January mnamchukua.
Inaonyesha bilioni 7 imekuuma sana. Mwanaume hautakiwi kuhesabu pesa iliyoko mfukoni mwa mwanaume mwenzio au kuumia kwa sababu ya matumizi yake. Kama tunapigwa mtuache, tumeipenda wenyewe.
 
Back
Top Bottom