Elimu au pesa?

daudi_8

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
215
Reaction score
27
Habari,nadhani wengi sio wageni na hako katopic,tumekuwa tukifanya sana midahalo kipindi cha primary hata secondary..ila sidhani kama hadi leo kuna muafaka uliopatikana kuwa kimoja wapo ni bora kuliko kingine.!,ikiwa wewe kama wewe utamu wa elimu umeuonja na utaumu wa pesa umeuonja,Em thibitisha kipi kipo juuuu...
nawasilisha.
 
Jamn nsaidieni matokeo Yangu ya kidato cha sitak yamefungiwa nimeenda kulipia baraza wanadai tusubirie week moja wanayaweka online VIP atakae yaona nitumie whatsaap kwenye namba,0654435095 my namba ni S0160/610 ni umbwe secondary
 
Kamuulize Deo Sangaaaa mbunge wa Makambako kuwa elimu na pesa kipi bora
SINA IMANI NA UKAWA
 
Kamuulize Deo Sangaaaa mbunge wa Makambako kuwa elimu na pesa kipi bora
SINA IMANI NA UKAWA

Yani wakati mwengine mtu unakuwa unadhihirisha ni kwa jinsi mwalimu wako alivyopata tabu na wewe,we kama hujaelewa ni bora ukakaa kimya kuliko kujibu ama kuongea utumbo...(jibuless)
 
jamn nsaidieni matokeo yangu ya kidato cha sitak yamefungiwa nimeenda kulipia baraza wanadai tusubirie week moja wanayaweka online vip atakae yaona nitumie whatsaap kwenye namba,0654435095 my namba ni s0160/610 ni umbwe secondary

gs-d
bam-f
economics- c
commerce- b+
accountancy-b
gpa 3.0
*************************
merit
 
Yani wakati mwengine mtu unakuwa unadhihirisha ni kwa jinsi mwalimu wako alivyopata tabu na wewe,we kama hujaelewa ni bora ukakaa kimya kuliko kujibu ama kuongea utumbo...(jibuless)
Mkuu mimi sikusoma kabsaaaa hivyo sikuwa na walimu ambao niliwapa tabu,
go get a life biotchhhhh
SINA IMANI NA UKAWA
 
Mkuu mimi sikusoma kabsaaaa hivyo sikuwa na walimu ambao niliwapa tabu,
go get a life biotchhhhh
SINA IMANI NA UKAWA

basi waliokulea mpaka hapo ulipofika,unajua kusoma na kuandika,shida waliipata.
 
Chagua moja! Pesa au elimu! Lakn elimu ina ku-defence! Na pesa ina ku-protect!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…