Mzuvendi
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 561
- 545
Mkuu shukrani kwa maelezo yako,
Labda ningeongeze na kudeclare interest kuwa mimi nimesoma Bachelor of science in Information Technology management.
Inshort haya masomo ya computer nionavyo mimi so far most ni wastage time, vitu vingi ni vitu ambvyo unaweza kujifunza baada ya kusoma vitu vingine, mfano hii ya coding nakuhakikishia huwezi kuw acoding mzuri kama hujuhi hiko unachokifanyia coding, kam ni software/application ya biashara au accountancy huwezi fanya vizuri kaa hujuhi accountancy au kam ni ya Afya, uwezi ifanya vizuri kam huijuhi afya.
so tukubaliane kuwa coding/progaraming tunaweza kuiweka mashuleni lakini iweni kama Topic/subject tu na sio major watu wasome kama wanavyo soma masomo mengine, kitu ambcho so far kinafanyika ila ni kwa wanfunzi wa masomo ya computer na It tu na inafanyika kw aubora zaidi kwa wale wanao major kwenye mambo hayo.
Tukubaline labda watoto waanze kufundishwa pasacal, c+, v basic wakiwa primary.
Actually you are misguided. It seems to me that when you look at Operating Systems such as Windows, Linux, and others you don't regard them as computer programs. It seems to me that when you look at programming languages such as visual basic, fortan you don't see them as a computer programs which require high level of thinking and programming to develop them.
Furthermore if you visit Microsoft, Apples or Google development centers, you will find more than 80% of employees have degrees that are computation in nature or require a very good level of computation. So when you say computer classes are a wastage of time, probably you went to a wrong a school or you don't know what you talk.
Coding isn't the only aspect of creating a working program. And for many highly skilled coder, before you start coding, the first thing you do is to a solution on paper, or to you have a conceptualized solution in your head. In other words, coding the use of tool (program language) to transform you solution into computer instructions.
In addition, people who have degrees in computer science don't work in a vacuum. They work with business analysts such as accountants or domain experts such as medical doctors to elicit system requirements. So they don't need to be experts in other areas to be fabulous coders. Besides, most coders who have attended computer schools are highly intelligent individuals. They can code any problem whose solution requires finite steps.