specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Rafiki yangu anamke mwenye miaka 25, Mke wake ameishia darasa la 7 kutokana nakukosa mtu wakumsomesha elimu ya sekondari+kumuendeleza kiujumla.
Jamaa amejitoa anataka kumwendeleza mke wake awe wakisasa(kujua ulimwengu unavyoenda),aweze kujua computer+matumizi yake katika maisha yake, aweze kuongea nakuandika lugha ya kingereza kwa ufasaha(ukizingatia ndio lugha inayo'run' ulimwengu') na awe na uelewa wakuendeleza biashara atakayomfungulia kwa mtazamo wa mbele zaidi(biashara kama mgahawa wa chakula,kupamba,kupamba+kupika keki)!
Sasa anahitaji ushauri wa wapi aanzie,na kipi kifuatie na sehemu zipi zinatoa ujuzi huo kwa ufasaha +mbinu nzuri ili asije akapoteza fedha.
NB:-Ushauri ndio unahitajika sio majungu+utani utani.
KARIBUNI TUMSAIDIE NDUGU YETU KIMAWAZO.
Jamaa amejitoa anataka kumwendeleza mke wake awe wakisasa(kujua ulimwengu unavyoenda),aweze kujua computer+matumizi yake katika maisha yake, aweze kuongea nakuandika lugha ya kingereza kwa ufasaha(ukizingatia ndio lugha inayo'run' ulimwengu') na awe na uelewa wakuendeleza biashara atakayomfungulia kwa mtazamo wa mbele zaidi(biashara kama mgahawa wa chakula,kupamba,kupamba+kupika keki)!
Sasa anahitaji ushauri wa wapi aanzie,na kipi kifuatie na sehemu zipi zinatoa ujuzi huo kwa ufasaha +mbinu nzuri ili asije akapoteza fedha.
NB:-Ushauri ndio unahitajika sio majungu+utani utani.
KARIBUNI TUMSAIDIE NDUGU YETU KIMAWAZO.