ELIMU HAINA MWISHO.

ELIMU HAINA MWISHO.

swamila

Senior Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
176
Reaction score
81
Leo nimesafiri kutoka Mwanza kuelekea Dodoma na bus moja. Kwenye hilo bus nilikuwa nasikia mlio maeneo ya dreva nikisikia huo mlio naona kama speed ya bus inapungua. Sasa nimeshindwa kuelewa uhusiano uliopo wa huo mlio na speed ya gari. Speed ya gari ikipungua na mlio unakata. Naomba kuelemishwa kwa anayejua na vp mlio ukiendelea tu kulia nini athari yake.
 
Speed governer hio ukizidisha 80km/h ndio inapiga makelele nadhani.

Nimesikia ma bus yamefungwa ving'amuzi na mamlaka husika though sina uhakika.
 
Kuna vifaa vimefungwa kwenye ma bus vinaitwa Speed governer, speed limit or controller hivi hupiga alarm pale tu dereva anapovuka kiwango cha speed kilichotegwa ingawa yapo maneo ya watu husema kikilia kila baada ya mara tatu utakutana na cheti mbele huko. Ahsante
 
Speed governer hio ukizidisha 80km/h ndio inapiga makelele nadhani.

Nimesikia ma bus yamefungwa ving'amuzi na mamlaka husika though sina uhakika.
Yeah uko sahihi wamefunga kwa mabus yote now hakuna speed zaid ya 85
 
Yeah uko sahihi wamefunga kwa mabus yote now hakuna speed zaid ya 85
Juzi nilikuwa na safari na gari dogo private nikapigwa torch speed 87 lakini hapakuwa na kibao cha 50 Trafiki kaniambia speed limit ni 80 kwahiyo akanipiga faini. Swali langu hizi speed limit kwa gari za private nazo zinatumika kwa mujibu wa sheria?
 
Hizo zimefungwa kwa bus zote anatakiwa atembee mwisho 80 na akizidi 85 inapiga kelele pia sheria za nchi nzima zinahitaji utembee speed 80 tu
Juzi nilikuwa na safari na gari dogo private nikapigwa torch speed 87 lakini hapakuwa na kibao cha 50 Trafiki kaniambia speed limit ni 80 kwahiyo akanipiga faini. Swali langu hizi speed limit kwa gari za private nazo zinatumika kwa mujibu wa sheria?
 
Juzi nilikuwa na safari na gari dogo private nikapigwa torch speed 87 lakini hapakuwa na kibao cha 50 Trafiki kaniambia speed limit ni 80 kwahiyo akanipiga faini. Swali langu hizi speed limit kwa gari za private nazo zinatumika kwa mujibu wa sheria?
Hapana. Ni kwa ajili ya magari ya abiria.
 
Ila mm naona ni upambavu why tanzania tunapenda sana kwenda kinyume na technologia speed 30kibao 50 kibao na limit eti 80 ..ni speed ndogo sana..

Ukikutana na gari ndogo ina ABS , TRC na VSC hata ikiwa gari speed 100 unapiga brake za gafla gari haiyumbi wala kutetelema na inanata na biti inasimama kama ilikuwa speed 10 vile.

Mpaka magari makubwa yamefungwa systerm hizo kuna video nyingi za volvo truck imepakia mzigo speed zaidi ya 100 harafu inapiga brake za gafla gari inasimama hapo hatua mbili mbele kama ilikuwa speed 10 vilee..

Sawala kubwa sio speed bali ni miundombinu yetu ni mibovu barabara mbovu sana yaani..kwanza nyembamba pili rami zina rasta na mabonde ukiwa speed gari ina luka luka tuu yenyewe.
 
Back
Top Bottom