Elimu: Ikitokea refa akahusika kufunga goli kwa bahati mbaya, goli hilo siyo goli

Elimu: Ikitokea refa akahusika kufunga goli kwa bahati mbaya, goli hilo siyo goli

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote.

Mpaka mwaka 2019, sheria ya refa kuwa sehemu ya mchezo iliondolewa hivyo, kwasasa ikitokea refa kagusa mpira na kusababisha goli, basi hilo goli halitohesabila, itaamuliwa kama fair play
 
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote. Mpaka mwaka 2019 ,sheria ya refa kuwa sehemu ya mchezo iliondolewa hivyo, kwasasa ikitokea refa kagusa mpira na kusababisha goli, basi hilo goli halitohesabika , itaamuliwa kama fair play
 
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote. Mpaka mwaka 2019 ,sheria ya refa kuwa sehemu ya mchezo iliondolewa hivyo, kwasasa ikitokea refa kagusa mpira na kusababisha goli, basi hilo goli halitohesabila , itaamuliwa kama fair play
Kwani kuna nini kimetokea hadi utukumbushe kwa uzi kabisa "dugu" yangu?
 
Back
Top Bottom