Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 237
Vip kuhusu dawa za kupalilia maharage?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna dawa zinazopigwa wakati kabla hujapanda Na dawa zinazopigwa wakati umeshapanda mfano round up ni dawa inayopigwa kabla hujapanda Na ukipuliza unakaa siku 10 adi 14 ndio unapanda lakini kuna dawa kama tiller gold kwenye mpunga inapulizwa wakati umeshapanda Na mpunga umeotaMasalu asante kwa uzi wako. Ingawa namba uliyotoa haipatikani.naomba kuuliza jembe dawa hapo juu umesema tutumie
Glyphosate na Metalaclor+ Atrazine. Umeelezea jinsi ya kutumia dawa. Je ni wakati gani unapanda? Baada ya kupiga dawa au kabla ya kupiga dawa? Au unapanda na majani kisha unapiga dawa kwa case pale hujalima na trekta unataka uue nyasi upande?
Zipo boss,hadi kwenye nyanya zipomkui hakuna dawa ya kuua magugu kwenye maharage?
Je hizo dawa zinaleta athari gani katika udongo? Kama ukizitumia mfululizo, Kuna kipindi itabidi ulipumzishe shamba?