chogo_mwamba
New Member
- Feb 7, 2022
- 4
- 3
Naomba msaada wa elimu kwa anae jua hii mbinu anipe ufafanuzi zaidi kama alivyoeza hapo chini mdau.👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalo neno..zakuambiwa changanya ....
Utaozea jela. Kwasababu chasis number itakua tofauti kwenye gari na kwenye kadi.Mkuu hivi kuweka plate namba ya gari nyingine iliyopata ajali, hv ukikamatwa na police siyo kosa kisheria kweli? ata mimi kuna jirani yangu gari yake ilikuwa namba B, gara siku hizi inasoma namba D, sijui akikamatwa itakuwaje?
Ndio kakaKonakona zote hizo no ili uonekane unaendesha range??