NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
AHSANTE KWA KUSHUKURU MKUUShukrani kwa soma mkuu
nikweli unga wa mlonge unasaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini lakini uuandae mwenyewe pia uunywe kwenye uji si chai na kama utatumia chai basi usi ichuje mkuu unywe na makapi.Safi sana mtaalamu kwa kutoa somo,nilisikia Unga wa majani ya mlonge ukiwa unatumia kijiko kimoja cha chai mara mbili kwa siku(asubuhi na jioni-una mix kwenye chai au uji au maji) nayo ina-control kiwango cha sukari mwilini,ni kweli?
hujaelewa wapi mkuu nikufafanulie ndugu yanguHata sijakuelewa mkuu
sukari sijui ipo 11 mara sijui aina ya pili ya kisukari...SIELEWI HATA UNAMAANISHA NINIhujaelewa wapi mkuu nikufafanulie ndugu yangu
Aisee nashukuru kidogo nimeelewaWastani wa kiwango cha sukari mwilini hupimwa ukitegemea nyanja mbili, endapo mtu amekula kitaalam wanaita "Random blood glucose(RBG)" na pale endapo mtu akiwa hajakula "Fasting blood glucose(FBG)".
Wastani (normal range) ambayo inabidi uipate kabla mtu ajala chochote (FBG) ni 4.4 to 6.1 mmol/L (79.2 to 110 mg/dL) ila kushuka kidogo au kupanda kidogo inaweza isiwe shida inategemea mtu na vyakula anavyokula na shughuli anazofanya. Na akishakula (RBG) inaweza kupanda 4.4 to 7.8 mmol/L au zaidi kidogo.
Na kuhusu kuanzishiwa dawa mkuu inategemea kwanza ni aina gani ya kisukari maana kuna mpaka kisukari kinachowapata kina mama kipindi cha ujauzito na kinaondoka chenyewe baada tu ya mama kujifungua.
Ila tukumbuke sana magonjwa haya tunaweza KUEPUKA kwa kula vizuri (diet) na kufanya mazoezi ya kutosha.
@ joseverest nadhani utakua umepata idea kdg [emoji23]
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu,inakuwaje kama umepima ukakuta ni chini ya 11...watu wengi huanzishiwa dawa mara tu akipimwa na kukutwa na sukari ipo kuanzia 10 -12 haswaa wale wa aina ya pili ya.kisukari, kimsingi ni makosa.angalia iwapo kiwango cha sukari yako katika damu ni 4-11 ukiwa hujala chochote hiyo ni normal range.Na inapo kuwa 4-14 ukiwa umekula ni normal kwahiyo unachopaswa kifanya ni kwamba ukipima kiwango utakacho pata UTOE 11 AMBAYO NI MAXIMUM RANGE
kwa mfano umepima ukakuta ipo 15 utoe 11 utapata 4 hivyo kiwango kilichozidi ni hiyo 4 ambayp unaweza kuimudu kuipunguza bila dawa.
KARIBUNI KUCHANGIA NA
NIPO TAYARI KUREKEBISHWA