NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Watu wengi huanzishiwa dawa mara tu akipimwa na kukutwa na sukari ipo kuanzia 10 -12 haswaa wale wa aina ya pili ya.kisukari, kimsingi ni makosa.angalia iwapo kiwango cha sukari yako katika damu ni 4-11 ukiwa hujala chochote hiyo ni normal range.
Na inapo kuwa 4-14 ukiwa umekula ni normal kwahiyo unachopaswa kifanya ni kwamba ukipima kiwango utakacho pata utoe 11 ambayo ni maximum range
kwa mfano umepima ukakuta ipo 15 utoe 11 utapata 4 hivyo kiwango kilichozidi ni hiyo 4 ambayp unaweza kuimudu kuipunguza bila dawa karibuni kuchangia na nipo tayari kurekebishwa.
Na inapo kuwa 4-14 ukiwa umekula ni normal kwahiyo unachopaswa kifanya ni kwamba ukipima kiwango utakacho pata utoe 11 ambayo ni maximum range
kwa mfano umepima ukakuta ipo 15 utoe 11 utapata 4 hivyo kiwango kilichozidi ni hiyo 4 ambayp unaweza kuimudu kuipunguza bila dawa karibuni kuchangia na nipo tayari kurekebishwa.