watafiti wa elimu wamebaini yakuwa hakuna taifa litakalo endelea bila kuwekeza kwenye elimu! Hellow wana JF mnalioneje hili ktk elimu ya kibongo ktk serikali ya kikwete?
Bila ya ELIMU watatoka wapi WATAALAMU mbali mbali kama vile ENGINEERS,DOCTORS,TEACHERS AND OTHERS, ambao ndo chanzo cha maendeleo popote duniani, SO (EDUCATION FOR THE DEVELOPMENT)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.