Elimu na pesa

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
lala, amka kumbuka kuwa lengo kuu la mwaka ni kutafuta pesa ili wanao wasije kupitia mateso, misukosuko na majuto uliyopitia... swali ni kwamba unazipataje hizo hela? hasa kwa wale wasomi ambao tunatumia muda mwingi kusoma vitu ambavyo havina uhalisia na maisha ya mtaani?
 
Lengo ni kuwa na pesa, watoto hawatorithi Elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…