Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
AsanteKar
Karibu sana kwa maelezo kuhusu aluminium
Whatsapp 0678906601
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteKar
Karibu sana kwa maelezo kuhusu aluminium
Whatsapp 0678906601
Kabisa Nawashukuru, Na Fundi Ameshakula Hela Yangu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Natumae mleta mada ulipata miongozo...
Ni tech gani inatumika kuziba gap kati ya ukuta na aluminium?.Kar
Karibu sana kwa maelezo kuhusu aluminium
Whatsapp 0678906601
Ni tech gani inatumika kuziba gap kati ya ukuta na aluminium
Skimming mkuu
Skimming mkuuNi tech gani inatumika kuziba gap kati ya ukuta na aluminium?.
😅😅😅Kabisa Nawashukuru, Na Fundi Ameshakula Hela Yangu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Unatumia SILICONE SEALANT kikopo kimoja kinauzwa Tsh 5000Ni tech gani inatumika kuziba gap kati ya ukuta na aluminium?.
Kuna nyumba niliwahi kuishi, nikawa nashangaa, mijusi, mbu n.k wanaingiaje ndani wakati hadi chini ya mlango nilikuwa naziba fresh tu.Unatumia SILICONE SEALANT kikopo kimoja kinauzwa Tsh 5000
Sasa hii ni lazima kuwekwa na fundi ila ukimlalia bei ipungue haweki maana dirisha 1 linaweza chukua kopo hata 4/5 kwa madirisha 5 hapo hasara kwake.
Mijusi na wadudu wengine lazima tu uishi nao ndani.
Hakuna material nyingine mfano wa rubber au sponge...!?Unatumia SILICONE SEALANT kikopo kimoja kinauzwa Tsh 5000
Sasa hii ni lazima kuwekwa na fundi ila ukimlalia bei ipungue haweki maana dirisha 1 linaweza chukua kopo hata 4/5 kwa madirisha 5 hapo hasara kwake.
Mijusi na wadudu wengine lazima tu uishi nao ndani.
1. Zingine unaweza kuchukua mabox unalowanisha na gundi unafanya kuziba vipenyoHakuna material nyingine mfano wa rubber au sponge...!?
Hiyo Sillicon sealant aliyoisema mdau ikikauka inakuwa rubber imara sana.Hakuna material nyingine mfano wa rubber au sponge...!?
Daah, safi. Vipi ni kampuni gani ni bora kwa haya materials ya aluminium?.Hiyo Sillicon sealant aliyoisema mdau ikikauka inakuwa rubber imara sana.
Na yenyewe mijusi italiwa na nani ili iishe?Hata hivyo mijusi inakula mbu, Mimi sioni kama ni tatizo.
Kama hakuna mbu hutoona mijusi, epuka mbu Ili usipate mijusi, kama kutakuwa na upenyo wa mbu basi mijusi will be there.Na yenyewe mijusi italiwa na nani ili iishe?
Hata nyoka mkuuKumbe Na Mijusi Tena?? Mi Nikajua Ni Mbu Tu[emoji2962]
NYOKANa yenyewe mijusi italiwa na nani ili iishe?
Kar
Karibu sana kwa maelezo kuhusu aluminium
Whatsapp 0678906601
Una hamu ya kuishi nyumba inayovuja?Mkuu naweza pata hii ramani?