Elimu ni ufunguo wa Maisha, Diamond anamsomesha mtoto wake Braeburn International school, chekechea ada milioni 20

Elimu ni ufunguo wa Maisha, Diamond anamsomesha mtoto wake Braeburn International school, chekechea ada milioni 20

Hivi hakuna wanaosoma havard kupitia huu mtaala wa necta?
Kuna msela wangu mmoja tuliua nae O level Tabora boys miaka ile tukashtuka yupo International school of Tanganyika [IST]. Baada ya hapo alipata scholarship na kituo kilichofuata ilikuwa ni Princeton University moja kati vyuo kongwe pale Marekani aka Ivy league ....Ila umalize Kidato cha sita kwa mtaala wa NECTA then uchanje mbuga Kwenye vyuo vikuu vyenye ubora wa juu duniani ni haiwezekani hiyo labda kwenu kuwe na mkwanja mreefu japo napo sijui kama inawezekana.
 
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.

Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe

Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"

Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Hivi yule mwinyi wa Zanzibar alisomea wapi

Na kama haujui watoto wa viongozi wana asilimiasili kubwa ya kurithishwa vyeo ikiwemo huo urais
Je kwa sasa wanasoma shule gani
Jibu baki nalo


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
mbona hasira mkuu wakati hata ada robo muhula huwezi kulipa?
😂😂😂😂😂 Mkuu robo ya million 20 ni million 4. Mkuu nilipie mtoto 4 wakati hapa kijijini tuna shule nzuri tu ya kayumba? ELIMU BURE nnachopeleka ni mahindi na maharagwe tu.
 
Si angalau hata wewe umesoma English medium.
Mi ilifika hatua nyumban hamna taa nikawa nasoma kwa hisia kwa kupapasa daftari huku nimefunga macho
Mimi nilikuzidi kidogo
Nilikua na vile viatu ukikanyaga vinawakawaka
Usiku ukifika nakichapa konzi ule muwako muwako twaap nachukua tu maneno tuwili tutatu nondo inaendelea😁😁😁
 
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.

Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe

Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"

Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.

Kuwa mwanasiasa mkubwa, kama President, PM au VP haimaanishi unatengeneza pesa ndefu zaidi kuliko unaowaoongoza… Jamaa kaongelea hao raia wa hizo shule wana chances ya kumake mkwanja mkubwa mno kutokana na elimu ya kimataifa wanayopata pamoja na exposure kubwa waliyonayo. Mfano mzuri ni hao kina Dewji, they are not politicians or maybe waliingia tu for personal interests but still ni rich family, na sababu ni kama hizo za exposure ya inter. Schools na maarifa yaliyoshiba kichwani.
 
Back
Top Bottom