Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Kuna msela wangu mmoja tuliua nae O level Tabora boys miaka ile tukashtuka yupo International school of Tanganyika [IST]. Baada ya hapo alipata scholarship na kituo kilichofuata ilikuwa ni Princeton University moja kati vyuo kongwe pale Marekani aka Ivy league ....Ila umalize Kidato cha sita kwa mtaala wa NECTA then uchanje mbuga Kwenye vyuo vikuu vyenye ubora wa juu duniani ni haiwezekani hiyo labda kwenu kuwe na mkwanja mreefu japo napo sijui kama inawezekana.Hivi hakuna wanaosoma havard kupitia huu mtaala wa necta?
we Funza, Fiche ni kitu gani?Fiche ujinga wako ndugu. Hii shule haifanyi mitihani ya NECTA
Hivi yule mwinyi wa Zanzibar alisomea wapiUzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
😂😂😂😂😂 Mkuu robo ya million 20 ni million 4. Mkuu nilipie mtoto 4 wakati hapa kijijini tuna shule nzuri tu ya kayumba? ELIMU BURE nnachopeleka ni mahindi na maharagwe tu.mbona hasira mkuu wakati hata ada robo muhula huwezi kulipa?
#fichawe Funza, Fiche ni kitu gani?
umesoma hiyo shule halafu unaandika ujinga?
wa international school udsm akatafute nini? Hao utawakuta unisa , stellenbosch au kansas huko habari za mzumbe na tumaini hapanaacha waangaike tu akifika levo ya chuo atakutana na wenzie udsm au udom kwenye kunguni kule...
kwa iyo unataka kuniambia kunguni wa yudomu hawatamhusu si ndio..?wa international school udsm akatafute nini? Hao utawakuta unisa , stellenbosch au kansas huko habari za mzumbe na tumaini hapana
Hayo hayamuhusu mkuukwa iyo unataka kuniambia kunguni wa yudomu hawatamhusu si ndio..?
Kakuzidi kimaisha by farSasa dayamond ana akili gani?🤣🤣ex muuza siso
Abaki na akili zake kwakweli za kukariri watu wote tunatafuta hela dogo apongezwe kapambanaKakuzidi kimaisha by far
We jamaa watu wote umeona uombe ya baba levo 😂😂😂sawa nipatie namba za baba levo chief
Mimi nilikuzidi kidogoSi angalau hata wewe umesoma English medium.
Mi ilifika hatua nyumban hamna taa nikawa nasoma kwa hisia kwa kupapasa daftari huku nimefunga macho
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Wazee wa ku-resit sanaaaaaBilashaka hao huwezi kuwakuta kwenye halmashauri.