donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
How difficult is to kidnap a school kid?As if kidnapping is simple like that ,[emoji4][emoji4]
Usimnange mtoto wa mkuu mstaafu, I used to flirt with her ....!Ye mwenyewe hakusoma
So dogo ana akili ndogo za baba yake
Anaenda sindikiza wenzie kama mwanaasha[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]Chibu yeye hataki wanae waende Al Madrassatul?
🤣🤣🤣Ila alikuwa mrembo,hongera kuflirt nayeUsimnange mtoto wa mkuu mstaafu, I used to flirt with her ....!
True that, ila flirt yetu haiku-turn into something more spontaneous. Pengine ningekua mbali now![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila alikuwa mrembo,hongera kuflirt naye
Nasikia Yuko marekani sikuhizi
😂😂😂😂 Akili za maskini bhana kwahyo kama haipo kumi bora ndio nini sasa😂😂😂 hao sio wamatumbi wenzako humo ni unyama mwingi mzeeNa hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Kwani Bakhresa bado anasomesha?View attachment 2812618
View attachment 2812721
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina Bakhresa na Gsm wanasomesha watoto wapi, watoto wa mabalozi wanasoma wapi, n.k. jua ya kwamba ni hapa hapa Tanzanja wala sio nje ila shule hizi ni Internationa schools, Ni shule ambazo
Ada ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe inabidi usiwe na pesa za mawazo, hata watoto wa Bakhresa, Gsm,
❤️🤍🤍🤍 Asante mkuu.Dada una hekima sana !
WOTEEEEE WANAKUTANAAA UDSM AMA NDIO WANAPELEKWA ISRAEL/AFGHANSTAN/GAZIA KUSOMA WAKIMALIZA FORMSIX??View attachment 2812618
View attachment 2812721
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina Bakhresa na Gsm wanasomesha watoto wapi, watoto wa mabalozi wanasoma wapi, n.k. jua ya kwamba ni hapa hapa Tanzanja wala sio nje ila shule hizi ni Internationa schools, Ni shule ambazo zipo kila nchi zenye kufuata mitaala ya kimataifa, hata uende Uingereza, Marekani, Dubai, n.k. kuna shule za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna shule maalum zinaitwa International schools.
Achana na hizi shule za hapa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta, shule hizi zina mitihani yao maalum ya kimataifs, wana tarehe za likizo tofauti, n.k. vitu wanavyofanana na shule zingine ni kufuata sheria za nchi mfano kutoruhusu matumizi ya dawa za kulevya, ushoga, udini, n.k.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo ya jana kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe inabidi usiwe na pesa za mawazo, hata watoto wa Bakhresa, Gsm, Mo wanasoma hapa hapa Tanzania lakini ni kwenye hizi International schools.
International schools ni levels nyingine, hata marekani wana shule zao za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna international schools za tabaka la wqchache.
Ada ya mwaka kwa chekechea ni dola 8,395, kwa pesa za kitanzania ukizidisha kwa shilingi 2,500 ni takribani shilingi milioni 21.
Faida za kusomesha shule za international:
- Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali, shuleni kuna waarabu, wahindi, wachina, wabrazil, wanaijeria, wakenya, n.k.
- Darasa moja halizidi wanafunzi 20
- wanafundishwa lugha za kimataifa kama kiingereza, kifaransa na spanish kwa ufasaha (kuandika, kusoma, kuongea, lafudhi, usikivu) kama ni yai wanatema lile original (hata Wema Sepetu kapitia huku yai analicharaza haswa), asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza kwa level ya kawaida sana, kwenye kuzungumza tunapata sana taabu kwa hizi lafudhi za kibantu (ze boi, ze geli, do zisi, do zati), mzungu wa Marekani au Uingereza mkiongeleshana inakuwa ni kudonoa baadhi ya maneno. huko International walimu ni waingereza, wajerumani, wahispania, n.k. wanafundisha lugha fasaha, na uzuri ni kwamba hata nje ya darasa lugha inayotumika ni kiingereza hakuna haja ya kuwalazimisha.
- Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
- kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
- watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
- Mtoto anapata moto mkali vibaya mno akisoma hizo shule hawezi kuridhika anavyoitwa wa kishua na rafiki zake wa kibongo, anaingia rasmi kwenye tabaka la malengo ya kuingiza walau milioni 20 kwa mwezi ili aweze kuja kuendana na wenzake, sio kuwaza mishahara ya milioni 3
- Kibiashara ni shule zinazoweza kukuza biashra za familia, Kama baba ni tajiri wa mashamba ya maparachi anayouza kwa wakenya basi mtoto kwa connections na exposure anaweza kupata masoko ya ulaya moja kwa moja na hata kuanzisha kiwanda cha bidhaa, kusoma hizi shule ni sawa na mtu alieishi sana Dar anaenda kijijini anaweza kuona fursa kibao.
- kwenye kuanzisha biashara kwa wale wasio na biashara za familia zinawasadia, wana uwezekano mkubwa wa kupata wadhamini / grants hasa katika nchi zetu hizi masikini, wana connections za wenzao wa mashirika ya kimataifa na wana exposure, Mfano ni Benjamin Fenandes app yake ni ya kawaida tu lakini imejipatia misaada ya pesa ndefu sana, na hivi sasa kaihamishia huko Kenya, connections na kuwa na exposure ya kuishi nchi zingine kunasaidia.
- Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata, kuzicharaza lugha za kimataifa na connections walizonazo zinawabeba.
Shidaaaa siohelaaa shidaa unasomesha wakwakooo amandio kapigwaa ndoigeeeee hioosuraaa na mond....kama simbanayangaaaaaaView attachment 2812618
View attachment 2812721
Pongezi kwake Naseeb Abdul kwa kuamua kuvunja kibubu kumsomesha mtoto wao yeye na Tanasha Donna aende kupata elimu bora yenye hadhi ya juu, Kama ulikuwa unajiuliza kina Mo walisoma wapi, kina Bakhresa na Gsm wanasomesha watoto wapi, watoto wa mabalozi wanasoma wapi, n.k. jua ya kwamba ni hapa hapa Tanzanja wala sio nje ila shule hizi ni Internationa schools, Ni shule ambazo zipo kila nchi zenye kufuata mitaala ya kimataifa, hata uende Uingereza, Marekani, Dubai, n.k. kuna shule za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna shule maalum zinaitwa International schools.
Achana na hizi shule za hapa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta, shule hizi zina mitihani yao maalum ya kimataifs, wana tarehe za likizo tofauti, n.k. vitu wanavyofanana na shule zingine ni kufuata sheria za nchi mfano kutoruhusu matumizi ya dawa za kulevya, ushoga, udini, n.k.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo ya jana kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe inabidi usiwe na pesa za mawazo, hata watoto wa Bakhresa, Gsm, Mo wanasoma hapa hapa Tanzania lakini ni kwenye hizi International schools.
International schools ni levels nyingine, hata marekani wana shule zao za serikali na private kama huku kwetu lakini kuna international schools za tabaka la wqchache.
Ada ya mwaka kwa chekechea ni dola 8,395, kwa pesa za kitanzania ukizidisha kwa shilingi 2,500 ni takribani shilingi milioni 21.
Faida za kusomesha shule za international:
- Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali, shuleni kuna waarabu, wahindi, wachina, wabrazil, wanaijeria, wakenya, n.k.
- Darasa moja halizidi wanafunzi 20
- wanafundishwa lugha za kimataifa kama kiingereza, kifaransa na spanish kwa ufasaha (kuandika, kusoma, kuongea, lafudhi, usikivu) kama ni yai wanatema lile original (hata Wema Sepetu kapitia huku yai analicharaza haswa), asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza kwa level ya kawaida sana, kwenye kuzungumza tunapata sana taabu kwa hizi lafudhi za kibantu (ze boi, ze geli, do zisi, do zati), mzungu wa Marekani au Uingereza mkiongeleshana inakuwa ni kudonoa baadhi ya maneno. huko International walimu ni waingereza, wajerumani, wahispania, n.k. wanafundisha lugha fasaha, na uzuri ni kwamba hata nje ya darasa lugha inayotumika ni kiingereza hakuna haja ya kuwalazimisha.
- Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
- kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
- watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
- Mtoto anapata moto mkali vibaya mno akisoma hizo shule hawezi kuridhika anavyoitwa wa kishua na rafiki zake wa kibongo, anaingia rasmi kwenye tabaka la malengo ya kuingiza walau milioni 20 kwa mwezi ili aweze kuja kuendana na wenzake, sio kuwaza mishahara ya milioni 3
- Kibiashara ni shule zinazoweza kukuza biashra za familia, Kama baba ni tajiri wa mashamba ya maparachi anayouza kwa wakenya basi mtoto kwa connections na exposure anaweza kupata masoko ya ulaya moja kwa moja na hata kuanzisha kiwanda cha bidhaa, kusoma hizi shule ni sawa na mtu alieishi sana Dar anaenda kijijini anaweza kuona fursa kibao.
- kwenye kuanzisha biashara kwa wale wasio na biashara za familia zinawasadia, wana uwezekano mkubwa wa kupata wadhamini / grants hasa katika nchi zetu hizi masikini, wana connections za wenzao wa mashirika ya kimataifa na wana exposure, Mfano ni Benjamin Fenandes app yake ni ya kawaida tu lakini imejipatia misaada ya pesa ndefu sana, na hivi sasa kaihamishia huko Kenya, connections na kuwa na exposure ya kuishi nchi zingine kunasaidia.
- Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata, kuzicharaza lugha za kimataifa na connections walizonazo zinawabeba.
Watoto wa Bakhresa wote wamesoma international schoolsKwani Bakhresa bado anasomesha?
Kwenda huko na vimisemo vyenu vya kujifariji, kapate hela chafu kwanza isiyo na mawazo ndo uje useme haya maneno wakati una option ya kuwapeleka watoto huko ila HAUJAAMUA.Na huu ndio ukweli usiopingika wa maisha: Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri, wafundishe kumjua Mungu,Yeye atawapa utajiri. Kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa njia hiyo pia watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
Jipe moyo... hivyo vyuo utakuta baadhi ya watoto wa FEZA na hizi shule zingine za ada mil 5acha waangaike tu akifika levo ya chuo atakutana na wenzie udsm au udom kwenye kunguni kule...
Hii sio sawa. Unafichua identity ya watu.1.)Na usomi wenu hata rolls royce hujawahi iona live na hamna mtu kwenye kizazi chenu aliyewahi kumiliki.
2.) na usomi wenu hamna mwenye mali hata 25% ya alichonacho domo.
3.) mama ake alikuwa mama ntilie ila saivi katakata kangaa
We mmama embu lea watoto wako huko wanakutegemea sana au bado unaendelea kudangia vijana na sura yako mbovu?
View attachment 2816058
Sio wote,msizi overrate kiasi hicho hizi shule...Brother we unawaza siasa tu? Hawa wa hizi shule huwakuti huko kwenye siasa za CCM na majitaka mengine labda aambiwe gombea tukupe hiki.
Hawa wanakuwaga maCEO, ndio wanaongelea mishahara ya mpaka 36M au kuendesha makampuni ya wazazi wao.