Elimu nje ya darasa mbali na walimu

Elimu nje ya darasa mbali na walimu

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Ni jambo jema sana kujisomea.
Kipengele muhimu sana cha elimu
Ni kujisomea baada ya kumaliza shule
Nje ya darasa
Mbali na walimu
Bila kutarajia cheti
Bali kwa 'interest' tu
Sawasawa na apendavyo mtu.

Kuna wanaopenda hadithi
Kuna wanaopenda biashara
Kuna wanaopenda teknolijia
Kuna wanaopenda afya.

Leo kuna elimu ya kila aina mtandaoni.

Kwa sasa najisomea kitabu kinaitwa
"Goodbye Germ Theory: Ending a Century of Medical Fraud.
Yaani: Kwaheri Nadharia ya Vijidudu: Kukomesha Karne ya Utapeli wa Kitabibu.
Kimeandikwa na Dr. William Trebing.
1633694139130.png

Kama unapenda kusoma (na ninakushauri ujizoeze kupenda)
ni kitabu KIZURI MNO. YAANI MNO!
Kinakufungua macho kwa namna usiyoweza kudhani.
UKIPENDA, unaweza kukidownload HAPA.

Kwa kifupi, utaweza kupata majibu ya maswali yafuatayo, ambayo tumeshazoeshwa majibu fulani:
1. Je, vijidudu (germs) kweli husababisha magonjwa?
2. Ni udanganyifu gani ambao umekuwa ukifanywa na makampuni makubwa ya dawa duniani ili kujipatia utajiri huku mamilioni ya watu wakihangaika kutumia dawa zao zisizo na faida wala ulazima?
3. Unawezaje kuishi bila kutegemea bidhaa za makampuni ya dawa?

Dunia imejaa uongo, hila na udanganyifu!
Believe me.
 
Hizo theory hazina tofauti na za freemason,dini nk zikikuingia unakuwa zombie hata hispirali unaweza usiende ila utaenda kuombewa na Gwaji Boy.
 
Hizo theory hazina tofauti na za freemason,dini nk zikikuingia unakuwa zombie hata hispirali unaweza usiende ila utaenda kuombewa na Gwaji Boy.
Kasome kitabu acha kuleta story za kufikirika
 
Kasome kitabu acha kuleta story za kufikirika
Sipendi kusoma vitu ambavyo havina application ya wazi.Napenda kusoma vitu ambavyo vina vivid example, vyenye ushahidi ninaoweza kuuthibisha mwenyewe sio hadithi za kufikirika nilisha acha.
 
Hizo theory hazina tofauti na za freemason,dini nk zikikuingia unakuwa zombie hata hispirali unaweza usiende ila utaenda kuombewa na Gwaji Boy.
mkuu, sio kila kitu kinamfaa kila mtu. Kwa hiyo, uko free kuwa maoni yako - ni sahihi au si sahihi, ni jambo tofauti
 
Sipendi kusoma vitu ambavyo havina application ya wazi.Napenda kusoma vitu ambavyo vina vivid example, vyenye ushahidi ninaoweza kuuthibisha mwenyewe sio hadithi za kufikirika nilisha acha.
kitu gani kimekuonyesha kuwa hiki hakina ushahidi mkuu?
 
kitu gani kimekuonyesha kuwa hiki hakina ushahidi mkuu?
Kwamba vijidudu havisababishi magonjwa?
Hio haithibiiki ni nadharia tu.
Kama imethibitika basi naomba article iliothibisha hilo nami nijilidhishe kisayansi kwamba ni kweli vijidudu havisababishi maradhi.
 
Kwamba vijidudu havisababishi magonjwa?
Hio haithibiiki ni nadharia tu.
Kama imethibitika basi naomba article iliothibisha hilo nami nijilidhishe kisayansi kwamba ni kweli vijidudu havisababishi maradhi.
Nakuunga mkono katika hili, ushahidi wa kisayansi upo unaothibitisha sababu za magonjwa mbalimbali kupitia vidudu hivi. Sasa leo atokee mtu anapinga hili bila uthibitisho wa kisayansi basi ana lake jambo.
 
Kwamba vijidudu havisababishi magonjwa?
Hio haithibiiki ni nadharia tu.
Kama imethibitika basi naomba article iliothibisha hilo nami nijilidhishe kisayansi kwamba ni kweli vijidudu havisababishi maradhi.
Kwa kifupi sana, vingunge wawili wanaosifika kwenye tasnia ya tiba ni Bechamp and Pasteur.

Basic principles ya ziko hivi mkuu:
Wanaounga mkono germ theory wako upande wa Pasteur na wanasema kwamba kila ugonjwa una germ wake na huyo ndio anasababisha ugonjwa husika; na ukitaka kushinda ugonjwa huo, basi shambulia huyo germ ama kwa chanjo au kwa tiba.

Wanaopinga germ theory ambao wako upande wa Bechamp. Huyu alisema kwamba ndani ya mwili kuna micro-parts alizoita microzyma. Hizi hubadilika kulingana na hali ya mwili. Mwili ukipoteza homeostasis, microzymas zinaweza kuwa bacteria, virus au fungus. Na katika hali ya kawaida, kunapokuwa na sumu mwilini, microzymas hutokea ili kuharibu hizo sumu kwa ajili ya usalama wa mwili.

Mfano, unapopata mafua, hiyo si dalili ya ugonjwa bali ni namna ya mwili ya kufanya detoxification. Lakini wanaoshikilia germ theory wanakupa dawa ili kusupress hiyo circle ya mafua, jambo linalodhaniwa kuwa ni uponyaji kumbe ni kuzuia mwili kujiponya.

Lakini kuna parasites. Hawa hawahusiki kwenye hii goodbye germ theory.

Ni hadi usome ndipo unaweza kuipata logic kamili. Lakini ukitazama tu kwa juujuu, utapinga kumbe hicho unachopinga hata hakisemwi na wahusika.

karibu Mpatuka
 
Back
Top Bottom