OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
mwisho ninaomba kama kuna mtu yuko na wimbo ule unasema" mungu ibarikiwe....aniwekee hapa.
CCM oyeeee!!! Elimu bora kwa kila mtanzania oyeeee!!! Idumu CCM!!!....mbona hamuitikii sasa itikieni " IDUMU"
Dah mkuu bora upate ajal mbaya na ukatike miguu ili ukome kukashifu din za watu kwa mambo yakupakazia
Hahahaaaaa!
Mukhliswina lahu diina walahu kariha l kaafirun.
laana~tu~allah
Sasa hiyo namba itatoka bila registration mkuu au ni ubishi tu umeamua?????!!!!!
Kama kilifutiwa usajili weka basi huo ushahidi!!
Mi nimetoa namba ya chuo kama kinavyotambulika TCU wewe mkanushaji weka vinginevyo kesi iishe!!!!
chuo kimesajiliwa ila hakiko monitored na TCU.Wanaoingia kusoma pale hawaombi kupitia kwa makafiri TCU na ubora wake unatia hofu. Kuna wahitimu wa SUZA walifanya kazi ofisini kwangu wako vizuri kweli.
Jf siku hizi imekuaje? wakati nasoma thread kwa mara ya kwanza niliingia kwenye coment kwa shauku nikitaka kufaham juu ya hilo maana hata mimi bado sifaham quality ya hki chuo. mbona tumeona thread nyng hapa zikiuliza quality ya SAUT, ST JOHN, BUGANDO, ST JOSEPH lakini saijaona wakristo wakijib kwa mihemko ya aina hyo? ni vema kama kitu haujui ukawa kimya. NAWASILISHA
Selection ya wanafunzi wanaoomba Uni mwisho lazima ipelekwe TCU tena cd,mkeka n.k sasa huu utaratibu unaosema hapa ni wa wapi???!!!!
Loan wanapataje???!!!!
wenyewe watajibu,tuvute subra watupe ILMU!''Ahsanta''
Selection ya wanafunzi wanaoomba Uni mwisho lazima ipelekwe TCU tena cd,mkeka n.k sasa huu utaratibu unaosema hapa ni wa wapi???!!!!
Loan wanapataje???!!!!
Utabisha kwa kutojua, majina hayaendi TCU na hata SUZA majina hayaendi TCU. Ila HESLB yanaenda
suza ndo chuo gani,kama unamaanisha sua you are a lier,sua tunaomba tcu ndo tunapangiwa except wale wachache sana wanaokuja kuomba sua chuoni moja kwa moja and ni wachache sana
OLESAIDIMU, kuanzia mwaka huu ni marufuku kuomba course fulani chuoni directly. Maombi yote ni TCU ambao wana orodha ya vyuo vyote vyenye kutoa degree isipokuwa vya Zenji (sababu Za Kisiasa) na MUM [Sababu za kidini]
suza ndo chuo gani,kama unamaanisha sua you are a lier,sua tunaomba tcu ndo tunapangiwa except wale wachache sana wanaokuja kuomba sua chuoni moja kwa moja and ni wachache sana
Naomba niseme kwamba mimi ni mwanafunzi wa chuo cha MUM na hakiitwi "CHUO CHA KIISLAMU CHA MOROGORO" bali kinitwa "CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO".
Mimi nipo hapa chuoni mwaka wa tatu huu, nilijiunga na chuo hiki mwaka wa masomo 2011/2012, kwahiyo nina uzoefu wa kutosha hapa chuoni.
Kilianzishwa mwaka 2004/2005 na hivi sasa chuo kina miaka kumi tokea kilipoanzishwa.
Chuo kinatoa kozi zifuatazo kwa wanaotaka kujiunga;.
1) Bachelor of art with education (3 years)
2) Bachelor of art in Mass communication (3 years)
4) B achelor of art in Islamic studies with education (3 years)
5) Bachelor of law and sharia (4 years)
6) Bachelor on Bussiness studies (3 years)
7) Bachelor of Language and Interpretation (3 years).
Makamu mkuu wa chuo anaitwa Prof. Hamza Njofi (Previosly he was the head of department of language and lingustic in UDSM).
Mkuu Nyakageni tatizo ni chuo ama TCU?